MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,431
Jana baada ya kusajili laini ya Azam nataka kuanza kuitumia baada ya kusikia sifa zake.
Wadau wanasema ina vifurushi vizuri na mtandao huko stable.
Mliotumia vipi mtandao wa internet mfano MB 500 wanauzaje hawa jamaa?
Natanguliza shukrani
Wadau wanasema ina vifurushi vizuri na mtandao huko stable.
Mliotumia vipi mtandao wa internet mfano MB 500 wanauzaje hawa jamaa?
Natanguliza shukrani