Idimulwa
Platinum Member
- May 27, 2011
- 5,102
- 2,682
Ushauri wa KihindiKama ana simu atapatikana tu ukienda kutoa taarifa polisi.
Kama amesajiri NIDA ni masaa machache tu, tatizo unakuta kaondoka na laki 1 au 2 hapo usijisumbue hasa kama kakimbilia mkoa wa mbali.
Na Mimi na Like kwa maandishiNimekupa hongera coz mtu akikurudisha hatua moja nyuma ya kimafanikio, Basi anakua amekufanya Upige hatua 10 mbele za kimafanikio! Kupitia kwake yeye atoae riziki!
Usivunjike moyo..Bible inasema
Mathayo
4 Heri wenye huzuni;Maana hao watafarijika.
So huyo mtu kaenda kukufungulia milango ya baraka, System ya maisha ni ya ajabu sana. Mtu anaweza kuona kakukomoa kumbe! Wee subbiri kuona outputs baada ya tukio hili. Utapata zaidi hata hiyo 1 aliyochukua hutaikumbuka.
Everything comes for reasons
Kila siku nasemaga.....Mwizi, mdokozi na tapeli. Hawa watu ni zaidi ya mchawi. Pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
asee nachukia sana hawa watuMwizi, mdokozi na tapeli. Hawa watu ni zaidi ya mchawi. Pole sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ulikuwa unajua unafanya Kaz na Muhuni na ukamuachia ofisiNi binti mdogo lakini mambo yake hakuna a nae amini, alikuwa anavuta hadi sigara
Hapo juu kasema hakua hata kamaliza nusu mwezi toka aajiriweMuwe mnawalipa pesa zao za ujira.
Hapo ukute ana miezi 4 hajalipwa na alikuwa anaishia kula tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana hiyo akili.
yaani we dada hauko serious kabisa, na bado ulikua unamlea tualikuwa anavuta hadi sigara
...Ninaona kuwa kuna swali linaulizwa humu zaidi ya mara Nne na halipatu majibu la...Amekuibia shilingi ngapi??...au ameibia shs ndogo sana hata wee mwenyewe unaona udhia kuzitaja?
Kama ni hivyo, achana naye Usonge mbele na mambo yako mengine...Mungu atakujalia nyingine nyingi zaidi ya aliyokuibia!
Huwezi kujua, labda huko kwao mama yake amelazwa kwa kuanguka ghafla kwa stroke na hiyo hela uliyoibiwa ndio imeenda kumuokoa huyo mama na kwa namna moja ama nyingine ukawa umepata Baraka kwa kuokoa maisha ya mtu!...japo kwa kuibiwa !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, nilipost nikiwa na usingizi alafu tungiAisee Rick Boy the sattanist keshawaharibu, mtoa mada ni mwanamke
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ulifanya kosa kubwa sana kumlaWakuu leo moyo wangu wauma sana, nina kiofisi changu cha kidizaini tu hapa kitaa, sasa kuna binti tupo hapo anasimamia.
Sasa leo nimetoka mishe mishe mida ya mchana nakuta pamefungwa nikapiga namba haipatikani, basi nikamuuliza dada nyumbani vipi umeachiwa ufunguo, kasema upo nikaenda fungua.
Machale yakanicheza, nikasema embu nciheki hela kama ipo, duh hamna kitu.
Basi nikatoka kama upepo hadi anapokaa Dah Mungu wangu keshachukua begi lake kachapa lapa muda mrefu sana, yaani dah usiombe aisee yakutokee haya.
Hawa watu tunaowaweka kwenye biashara zetu tuwe makini sana, roho imeniuma lakini nimesimama kama chuma hadi watu wananishangaa.
Hapa chumbani huwa nalala na kipande cha nondo, akigusa mtu mlango amekwisha.