Wakuu ni kwamba pesa mtaani hamna au?

Wakuu ni kwamba pesa mtaani hamna au?

Mkuu usikate tamaa ! On ground hali ni tete sana..... huku mitandaoni tunajipooza!

Watu wanafungua sana biashara, hazikai muda wanafunga..... waokaza ndio hivo, wanalalamika aidha faida kiduchu na wengine wanaziendesha kwa hasara !

Mzunguko umepungua sana, hao wateja wachache unaopata nao wanalia kweli kweli
 
Back
Top Bottom