Wakuu, naomba msaada wa jambo moja pale SUA

Wakuu, naomba msaada wa jambo moja pale SUA

Nangose 1

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2017
Posts
7,205
Reaction score
6,781
Niliapply chuo dirisha la pili pale SUA ila mpaka selection zinatoka sijapewa ujumbe wowote zaidi ya ule wa mwanzo kabisa nilipo submit application.
Sasa nahisi itakuwa nimekusa nafasi kwa ile round ya pili na baada ya kufungua round ya 3 nataka niombe tena. Ila shida inayojitokeza kwenye account yangu sijaweletewa option ya kure-apply yaaan maelezo ni yaleyale tu..
Naomba msaada hapa nifanyaje na siku zenyewe za kuomba ni chache sana
IMG_20201030_223725_459.jpg

Au inatakiwa nianze tena upya kama new applicant..?
 
Wasiliana na SUA wenyewe si Wana web nenda kule ukachukue namba za simu
 
Cheki hii List ya Second selection iliyotoka kama jina lako lipo.
 

Attachments

Yaaan hii account haijajibu chochote hadi leo
 
Kozi niliyosoma dip inanitaka sana niende sua kupiga bachelor.. Labda nijaribu na udsm nasikia kuna college ya kilimo
Dah aisee!, lakin sitaki kukukatisha tamaa ila huu ndio ubaya wa kusoma kozi zinazopatikana chuo kimoja incase umekosa hiko chuo ndo basi tena. Kila la heri mkuu, jaribu pia na hapo udsm japo kupata ngumu kdg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom