Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,341
Nilifikiri kama uko karibu uwatembelee. Pole kwa hiloNipo Kusini mwa Tanzania huku mkuu..
Nilifikiri kama uko karibu uwatembelee. Pole kwa hiloNipo Kusini mwa Tanzania huku mkuu..
Msaidie kijana huyo..hawa vijana wa humu jf ni wa kuwasamehe bure tu mkuu.Mkuu tangu mwanzo nilikuuliza ufaulu wako upoje ili nijue namna ya kukusaidia ukanijibu kwa kejeli
By the way sikutaka kukwambia hili but kwa watu kama ww nimeona nikwambie
kiufupi mimi ni mtumishi wa sua mwaka wa6 huu nilikuuliza vile nikupe hint na namna ya kuwasiliana na wenzangu waliopo kwenye system ya kuchagua applicants but ukanijibu kwa kejeli
pambana na 3rd tu hapo mkuu
#dharauHazijengi #HatujuaniHumu
Mwaka 2018 yalinikuta kama haya nimepata nafas mwaka huu.. Jaribu unaweza pataKozi niliyosoma dip inanitaka sana niende sua kupiga bachelor.. Labda nijaribu na udsm nasikia kuna college ya kilimo
second year unaweza anza masomo bila kulipia chochote ila shida itakuja muda wa kusajili course Kama hujalipa ukitaka kusajil inagomaivi second year kuna vitu gan vya kulipia mwanzo?
hiyo namba niliyokupa vipi? Ulimpata hewani?Kozi niliyosoma dip inanitaka sana niende sua kupiga bachelor.. Labda nijaribu na udsm nasikia kuna college ya kilimo
Tuition fee na other fee. Kwa in campus ni pamoja na kodi ya hostelivi second year kuna vitu gan vya kulipia mwanzo?
poasecond year unaweza anza masomo bila kulipia chochote ila shida itakuja muda wa kusajili course Kama hujalipa ukitaka kusajil inagoma
Ponera,nakuona sana Fb kumbe na huku unatumia jina hili hilihiyo namba niliyokupa vipi? Ulimpata hewani?
ndio mkuu sijaficha id cause sina nia ovu dadaPonera,nakuona sana Fb kumbe na huku unatumia jina hili hili