Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Unaandika maneno yote mazuri kuhusu mapenzi unamtumia na hakikisha umeweka delivery report ili ikifika ujue ,ikifika tu ,zima simu mpaka kesho ni lazima kama anakupenda atajibu chochote hata kukukejeli ila usiwaze ni mwanzo wa kutengeneza confidence .
😄
Mwenzako alifanyaga hivyo hivyo.

Alivyotuma txt, ikajibiwa chap, kwa raha aliyokua nayo mchizi hakutaka kuisoma hiyo reply usiku ule.

Akazima simu, qkaiacha meseji bila kufunguliwa.

Kesho imefika asubuhi, jambo la kwanza kuwasha simu kisha ndio asome jibu.

Akakutana na DEAR CUSTOMER, YOU DON'T HAVE ENOUGH BALANCE TO ACCESS THIS SERVICE.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom