Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,123
- 62,112
Umri mdogo huo, pambana na kitabu kwanza, vyuo vimeanza kufungua madirisha ya kuomba nafasi.
Fanya kazi au muombe baba yako hela ununue kasimu kadogo uweke laini ya mtandao wowote .
Ukimuona binti yeyote ukampenda anza jitihada za kupata namba yake ila jitahiidi ajue kabisa wewe ndiye unayeitaka hii itakuondelea maswali ya nani kakupa namba yangu maana uwa yanaondoa utulivu wa akili .
Sasa najua wakati wa kuomba namba lazima uwe na aibu ,jikaze ikiwezekana tumia hata mtu muombe akuombee maana mchawi ni namba ukiipata unasubiri usiku wa saa nne mpaka saa tano .
Unaandika maneno yote mazuri kuhusu mapenzi unamtumia na hakikisha umeweka delivery report ili ikifika ujue ,ikifika tu ,zima simu mpaka kesho ni lazima kama anakupenda atajibu chochote hata kukukejeli ila usiwaze ni mwanzo wa kutengeneza confidence .
Endelea na huo mchezo hata majuma mawili mtajikuta mmeshaanza kuchart kawaida mara yupo getoni ,mara usubiri wazazi watoke umlete sebuleni kwenu yaani namna hiyo
Unaogopa kuskia NO kwa kuwa akili na ubongo upo kwenye Auto YES.Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili
Mimi ni kijana wa miaka 20 Sina mpenzi lakini nashangaa nashindwa kutongoza yani unakuta dem nimemuelewa lakini. siwezi kumwambia nakosa kujiamini Wakuu
Naomba ushauri wenu nitumie ili niepukane na adha hii mana sijawahi kutongoza
Kila nikitaka kutongoza msichana yeyote najikuta siwezi kuongea Kaka zangu naombeni ushauri wenu tafadharini:
Ushauri:wenu tafadhari:
Ni muhimu kujifunza art ya kutongoza mapema.Hata hivo mwanamke ni majukumu ni vizuri kutokuwa nao😊
Kweli kabisa 😜Ni muhimu kujifunza art ya kutongoza mapema.
ili umtongoze yule unayemuhitaj pale muda sahihi ukifika.
Pitia hizo hatua mwanangu ,mimi kama baba yako napenda walau na wewe upate raha ya haya mambo mapema ili usije kuwa limbukeni kama jamaa mmoja wa songea anaitwa Guddy ,vipi unamjua au humjui ?Ahsante kwa ushauri mpana kaka
Pambania hizo hatua ,ukofanikiwa nicheki nikusimulie yaliyomkuta Lily ila changamoto ya Guddy ilianzia kwenye hatua ngumu kama hii yako inayokupa shida mwananguSimjui ndo nani...?
cheki na mwana, anahitaji apigiwe pandeTajiri Abbas nini shida ?
Ushaur mwingne.Aysee kama unajua akili yangu vile
Mfundishe varieties za nyetto Zako.cheki na mwana, anahitaji apigiwe pande
Kila la kheri kijana wanguSawa ushauri wako nitaanza kuufanyia kazi haraka iwezekanavyo..!