Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili...?

Wakuu nahitaji msaada wenu kwa jambo hili

Mimi ni kijana wa miaka 20 Sina mpenzi lakini nashangaa nashindwa kutongoza yani unakuta dem nimemuelewa lakini. siwezi kumwambia nakosa kujiamini Wakuu

Naomba ushauri wenu nitumie ili niepukane na adha hii mana sijawahi kutongoza

Kila nikitaka kutongoza msichana yeyote najikuta siwezi kuongea Kaka zangu naombeni ushauri wenu tafadharini:

Ushauri:wenu tafadhari:
Inasikitisha sana!
 
Ramtz Jr acha tu haya mapenzi, ni balaa japokuwa nipo the same age too you, mimi nilikafata kabidada nakaomba no. kanasema hakana simu wakati kanayo..... mpaka nikachoka siku hizi nasoma zangu zaburi 103
Muda wenyewe ndo huu namba ninazo kibao ngoja tuone...!
 
Fanya kazi au muombe baba yako hela ununue kasimu kadogo uweke laini ya mtandao wowote .

Ukimuona binti yeyote ukampenda anza jitihada za kupata namba yake ila jitahiidi ajue kabisa wewe ndiye unayeitaka hii itakuondelea maswali ya nani kakupa namba yangu maana uwa yanaondoa utulivu wa akili .

Sasa najua wakati wa kuomba namba lazima uwe na aibu ,jikaze ikiwezekana tumia hata mtu muombe akuombee maana mchawi ni namba ukiipata unasubiri usiku wa saa nne mpaka saa tano .

Unaandika maneno yote mazuri kuhusu mapenzi unamtumia na hakikisha umeweka delivery report ili ikifika ujue ,ikifika tu ,zima simu mpaka kesho ni lazima kama anakupenda atajibu chochote hata kukukejeli ila usiwaze ni mwanzo wa kutengeneza confidence .

Endelea na huo mchezo hata majuma mawili mtajikuta mmeshaanza kuchart kawaida mara yupo getoni ,mara usubiri wazazi watoke umlete sebuleni kwenu yaani namna hiyo mdogo wangu .

Kwa ushauri zaidi zama PM, tuma hata jero nikusaidie mbinu zingine za toleo jipya
 
jf ya mapenzi Kila baada ya masaa kadhaa ni nyuzi za mapenzi tu.
 
Hata mimi nilikuwa kama wewe yaani hakuna kitu nilikuwa naona aibu kama kumtongoza mwanamke

Ilifika hatua mpaka mama mdogo akaanza kuhoji hivi huyu anaweza kutongoza kwel bas mimi ndo woga ukawa unazidi

Ebhanae siku zikaenda
sasa pale mtaani kulikuwa na kadem pisi ya kwenda kila wanaume wakitongoza wanatolewa nje halaf mi nikatokea kukaelewa muda huo ni kama marafiki
Nikawa nawaza nakaanzaje na je kakinikatalia itakuwaje nikawazaa baadae nikaona potelea pote liwalo na liwe
Siku moja nikaamua kukatokea nikakuta kako na marafiki zake
Nikakaita nikakaambia nina maongez na ww

Eti kananiambia ongea hapa hapa na muda huo kamenikazia macho halaf mim sasa mapigo ya moyo yanaenda mbio sio poa hadi nataman kukimbia
Nikajikaza nikamwambia mimi nakupenda halaf muda huo natamani kakatae nikimbie haraka

Lol! Et kananiambia hayo mambo yashapitwa na wakat

Daah kiukwel hakuna siku niliumia kama hiyo siku

Kufupisha stori kalikuja kukubal kwa baadae ila kutongoza kwa mara ya kwanza ni mtihan sio poa
 
Hata mimi nilikuwa kama wewe yaani hakuna kitu nilikuwa naona aibu kama kumtongoza mwanamke

Ilifika hatua mpaka mama mdogo akaanza kuhoji hivi huyu anaweza kutongoza kwel bas mimi ndo woga ukawa unazidi

Ebhanae siku zikaenda
sasa pale mtaani kulikuwa na kadem pisi ya kwenda kila wanaume wakitongoza wanatolewa nje halaf mi nikatokea kukaelewa muda huo ni kama marafiki
Nikawa nawaza nakaanzaje na je kakinikatalia itakuwaje nikawazaa baadae nikaona potelea pote liwalo na liwe
Siku moja nikaamua kukatokea nikakuta kako na marafiki zake
Nikakaita nikakaambia nina maongez na ww

Eti kananiambia ongea hapa hapa na muda huo kamenikazia macho halaf mim sasa mapigo ya moyo yanaenda mbio sio poa hadi nataman kukimbia
Nikajikaza nikamwambia mimi nakupenda halaf muda huo natamani kakatae nikimbie haraka

Lol! Et kananiambia hayo mambo yashapitwa na wakat

Daah kiukwel hakuna siku niliumia kama hiyo siku

Kufupisha stori kalikuja kukubal kwa baadae ila kutongoza kwa mara ya kwanza ni mtihan sio poa
Kumbe huwa mnateseka hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom