Wakuu naaomba kujua tabia za Wakinga

Wakuu naaomba kujua tabia za Wakinga

Status
Not open for further replies.
Kama ni kweli myth ya wakinga ni wachawi ndio maana wanafanikiwa kwenye biashara basi pia ni kweli kwa myths zifuatazo
1÷wachaga ni matajiri sababu ya wizi wao

2÷wahaya ni malaya sana hawafai kuolewa

3÷sumbawanga tanga bagamoyo na pemba wanaongoza na kutisha kwa uchawi

4÷ wanaume warefu wana dushe ndefu

5÷ wanawake wembamba na wenye midomo mipaka wana shimo kubwa na refu balaa.
 
Kama ni kweli myth ya wakinga ni wachawi ndio maana wanafanikiwa kwenye biashara basi pia ni kweli kwa myths zifuatazo
1÷wachaga ni matajiri sababu ya wizi wao

2÷wahaya ni malaya sana hawafai kuolewa

3÷sumbawanga tanga bagamoyo na pemba wanaongoza na kutisha kwa uchawi

4÷ wanaume warefu wana dushe ndefu

5÷ wanawake wembamba na wenye midomo mipaka wana shimo kubwa na refu balaa.

huenda likawa jiwe la gizani....

utakuwa mkinga ww
 
Waking a sio matajiri ni washirikina sana Kazi, biashara, ndoa vyote hivyo hulindwa Na Uchawi ni kabila linaloamini sana uchawi .Mie no boss wangu hapa Kinondoni kila mwezi hutoroka kwenda kwao japo Kwa Siku 3 kulinda ajira no kabila chafu sana
Kuna ukweli baadhi ya sifa hapa
 
Wakinga ni kabila lililopo mkoa wa njombe katika wilaya ya makete.......

Wakinga (ukiachilia mbali dhana iliyo zoeleka miongoni mwa watu kuwa ni washirikina ingawa kila kabila lina ushirikina.)...wakinga ni wachapa kazi ,wananidhamu ya PESA(hii imepelekea watu WENGINE kudiliki kuita watu wa kabila hili ni wabahili),wanapenda kushirikianaa,wakarimu,watu wasio penda makuu,...n.k

Wakinga ni kabila linalopenda sana biashara. ...na limejikita katika mikoa mbalimbali ...kama vile dar es salaam mbeya ,iringa, n.k


Katika suala la mahusiano ya kimapenzi ....
Wakinga HASA wanawake wanauvumilivu katika ndoa,uchumba n.k,wanapenda sana maendeleo ,wakarimu,hawana hasira za karibu.....


Ubaya wa wakinga
1:wabishi
2:wabahili
3:wanaamini ushirikina katika biashara ...ukiachilia mbali na juhudi zao
4:wao ndoa za mitala ni kitu cha kawaida kwao
5:wana wivu wa kimaendeleoo


NOTE
Wakinga wanashindwa kuwekeza sana katika mkoa wao kulingana na hali mbaya ya miundo mbinu .....
 
Ukweli ni kwamba wakinga ni watu wa kujituma sana katika kazi watu wanasema washirikina lakini hebu tembea Mikoa mbali mbali hawa jamaa wanajituma sana na wakiweka malengo lazima wafikie yupo tayari kushinda na njaa ili asave hela aliojipangia kuweka kama akiba, Hata maduka yao ndohuwa ya kwanza kufunguliwa, Kwenye swala la mahusiano wako pouwa pia kazi kwanza starehe baadae
Mbeya kunamsemo ''mbahili kama mkinga". wanabajeti sana ya biashara. si wanawake si wanaume. biashara ndogo hadi kubwa. wana SACCOS Mbeya kubwa kama benki.
 
Nikuambie ukwel,,,moja ya wakinga ambae ni rafiki yangu sanaaaa alinipa siri moja amabayo naamin aliniambia ukwel,,,moja wanapenda SNA maisha mazur na wapo Tayar kwa lolote ili afikie ndoto zake,,,kula rakaa moja tena ya bei poa kwake sio shida,,ili mradi atimize anachotaka,zaman walipewa utajiri na mzee mmoja pale makete,ulikua ukienda kwa Huyo mzee unapewa mtaji na naul ya kukurudisha kwenu ajab ile hela ukienda kununulia biashara unapewa bidhaa Mara tano zaid, kwa hyo lazima ufanikiwe,ni watu wanaoamin biashara bila kuloga haiendi,na ni kabla ambalo lina mahouse gal wachache sana mjini,wakarimu ila ukipakana biashara yako na yake Mara nying utakimbia maana wanatabia ya kuvunja bei sababu wengi hela wanazozungusha zinakuja kimialimiali so hawaoni hasara,,wanatabia moja km wapemba akipanga kwako muda mrefu Mara nyingi anainunua nyumba yako penda usipende, sio wabunifu sana wa mapenz,na watu wanapenda SNA kusaidia ndugu zao.... Wqnaaminian sana wao kwa wao km waha wa kigoma,,,na tofauti yao na wachaga ni kwamba mchaga ni mjanja sana kuanzia maisha popote Ila hawa jamaa wanapenda mji ambao umeshachangamka kibiashara.... Kuna mengi yao siwez kuandika hapa Ila nitakuja moja kwa moja kukuambia mengine
 
Wakinga ni kabila lililopo mkoa wa njombe katika wilaya ya makete.......

Wakinga (ukiachilia mbali dhana iliyo zoeleka miongoni mwa watu kuwa ni washirikina ingawa kila kabila lina ushirikina.)...wakinga ni wachapa kazi ,wananidhamu ya PESA(hii imepelekea watu WENGINE kudiliki kuita watu wa kabila hili ni wabahili),wanapenda kushirikianaa,wakarimu,watu wasio penda makuu,...n.k

Wakinga ni kabila linalopenda sana biashara. ...na limejikita katika mikoa mbalimbali ...kama vile dar es salaam mbeya ,iringa, n.k


Katika suala la mahusiano ya kimapenzi ....
Wakinga HASA wanawake wanauvumilivu katika ndoa,uchumba n.k,wanapenda sana maendeleo ,wakarimu,hawana hasira za karibu.....


Ubaya wa wakinga
1:wabishi
2:wabahili
3:wanaamini ushirikina katika biashara ...ukiachilia mbali na juhudi zao
4:wao ndoa za mitala ni kitu cha kawaida kwao
5:wana wivu wa kimaendeleoo


NOTE
Wakinga wanashindwa kuwekeza sana katika mkoa wao kulingana na hali mbaya ya miundo mbinu .....

get a lesson mkuu.....
naomba unitoe woga kama uchawi wao hauna madhala ya kiafya kwa wengine.....
 
kwanza kuna aina tofauti ya wakinga zpo km NNE ivi
1: wamahanji - hawa asili yao ni tarafa ya bulongwa na maeneo jirani, wengi wao n watu wa elimu hasa iliosababishwa na ujio wa wamisionari, hawajihushi sana na biashara ila n wabinafs sana na wanajigamba sana, ushirikina upo baadh ya vijiji km vile madihani na utengule huku n balaa sana
2: wamagoma- hawa wanatok tarafa ya magoma n watu wa kati elimu na biashara inategemeana na familia zao,
3: wakinga pure- hawa biashara huwawez kwa njia yyte ile kwa juhud binafs au ushirikina wengi wao hutikea kweny familia duni sana, iv wapo tayar kutoa kafara mtu mmoja ili waliobak waishi vema, elimu kwao sio KTU cha msngi sana maybe kwa miaka ya sasa HV, kuna eneo dogo la lupila kunawasomi kwasababu wamisionar waliingia mapema, hili kund n wabishi sana, uchaw wao n kwaajili ya kupta Mali
4: wawanji- hawa hutokea matamba hawa n watu wanaojitenga sana hawapend kuitwa wakinga, hku ndo uchawi halisi upo, kuna vtu vinaitwa nyambuda, misukule nk,
Nb; kuhusu mapenzi wakinga wote n wavumilivu sana na n wanafki sana kwa michupuko n hatari
 
kwanza kuna aina tofauti ya wakinga zpo km NNE ivi
1: wamahanji - hawa asili yao ni tarafa ya bulongwa na maeneo jirani, wengi wao n watu wa elimu hasa iliosababishwa na ujio wa wamisionari, hawajihushi sana na biashara ila n wabinafs sana na wanajigamba sana, ushirikina upo baadh ya vijiji km vile madihani na utengule huku n balaa sana
2: wamagoma- hawa wanatok tarafa ya magoma n watu wa kati elimu na biashara inategemeana na familia zao,
3: wakinga pure- hawa biashara huwawez kwa njia yyte ile kwa juhud binafs au ushirikina wengi wao hutikea kweny familia duni sana, iv wapo tayar kutoa kafara mtu mmoja ili waliobak waishi vema, elimu kwao sio KTU cha msngi sana maybe kwa miaka ya sasa HV, kuna eneo dogo la lupila kunawasomi kwasababu wamisionar waliingia mapema, hili kund n wabishi sana, uchaw wao n kwaajili ya kupta Mali
4: wawanji- hawa hutokea matamba hawa n watu wanaojitenga sana hawapend kuitwa wakinga, hku ndo uchawi halisi upo, kuna vtu vinaitwa nyambuda, misukule nk,
Nb; kuhusu mapenzi wakinga wote n wavumilivu sana na n wanafki sana kwa michupuko n hatari

uko vizuri mkuu.....
nimekupa vema...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom