GOJA
Member
- Oct 14, 2016
- 15
- 8
Sasa mkuu .....get a lesson mkuu.....
naomba unitoe woga kama uchawi wao hauna madhala ya kiafya kwa wengine.....
Kwani kuna uchawi usio na madhara?
Sasa mkuu .....get a lesson mkuu.....
naomba unitoe woga kama uchawi wao hauna madhala ya kiafya kwa wengine.....
Wakinga tuko wengi umuhao wamekudanganya wakinga tupo poa sana tumehama makete tumehamia kariakoo
Hahaha apo umenisema mkuuwanatabia ya ufupi
Mkuu wewe ndo unawajua WakingaWakinga ni kabila lililopo mkoa wa njombe katika wilaya ya makete.......
Wakinga (ukiachilia mbali dhana iliyo zoeleka miongoni mwa watu kuwa ni washirikina ingawa kila kabila lina ushirikina.)...wakinga ni wachapa kazi ,wananidhamu ya PESA(hii imepelekea watu WENGINE kudiliki kuita watu wa kabila hili ni wabahili),wanapenda kushirikianaa,wakarimu,watu wasio penda makuu,...n.k
Wakinga ni kabila linalopenda sana biashara. ...na limejikita katika mikoa mbalimbali ...kama vile dar es salaam mbeya ,iringa, n.k
Katika suala la mahusiano ya kimapenzi ....
Wakinga HASA wanawake wanauvumilivu katika ndoa,uchumba n.k,wanapenda sana maendeleo ,wakarimu,hawana hasira za karibu.....
Ubaya wa wakinga
1:wabishi
2:wabahili
3:wanaamini ushirikina katika biashara ...ukiachilia mbali na juhudi zao
4:wao ndoa za mitala ni kitu cha kawaida kwao
5:wana wivu wa kimaendeleoo
NOTE
Wakinga wanashindwa kuwekeza sana katika mkoa wao kulingana na hali mbaya ya miundo mbinu .....
HahahahaKuna senior mmoja hapa ofisini ni mkinga anaamini sana uchawi hata akikushauri anashauri kichawi chawi
Hahah mkuu kwan kupenda pesa vibaya?Ndu ka unataka kuoa mkinga hapo unapatia ,ila kama wewe au nduguyo anataka kuolewa na hawa washenzi weka mbali na watoto.hupenda pesa kuliko chochote
Weka pichaKuna senior mmoja hapa ofisini ni mkinga anaamini sana uchawi hata akikushauri anashauri kichawi chawi
ufupi sio Tabia ni maumbile... Point of correctionwanatabia ya ufupi
Ila kweli hata mimi nimekuwa nikiwaogopa maana wanasema ni wachawi. Ila natambua kwamba wengi wako mbele sana kiuchumi ila huwa tunaambiwa wanapata utajiri kwa njia za uchawi. Kuna mtu mmoja eneo la Kinyerezi alisema walikuwa wananunua viwanja bila kuandikishiana lakini wanalipa na kusema tutaandikishiana nikirudi. Nasikia watu walikuwa wanawaogopa hakuna anayeweza kuwadhulumu.Wengi mnadanganywa sana kuhusu Wakinga lakini kumbe hatuko hivyo.
Mi mwenyewe nimepakana nao na sijaona tatizo lao..ni watu wastaarabu tu. Sasa sijui ni wote au baadhi yao.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] inakuaje kwa mfano ukipakana nao