Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,671
- 167,734
nasikia ni washirikiner sana
nani ka kwambia? unamvo mclassfy mtu unaangalia internal and external character kwa taarifa yakoufupi sio Tabia ni maumbile... Point of correction
Tabia hii ikoje?wanatabia ya ufupi
kuna kabinti nimekapata maeneo hayo....
ngoja nigaili mkuu..
Yani utakuwa umepiga bakuli la dhahabu teke mkuu! Mwanamke wa ki Kinga Ni bora kuliko unavyo fikiria! Wachapakaz, wapole na Wavumilivu sana !kaka zangu wawili wameoa Wakinga ebwanaa eeh hawajawai kujuta! Ni wakarimu vibaya mno hao ma Shem ! Mi mwenyew Mwakani hivi lazima nikavute mkinga InShaLlah