Grand Canyon
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 457
- 927
Nimefikia stage ya kuchimba choo lakini maji yako karibu ft 4. Na ni maji mengi , je nisimamishe ujenzi wa choo mpaka kiangazi au kuna njia mbadala?
Mbona sasa nakwama kuhamia kwangu jamani?
Location: Mwanza
Msaada Please.
Mbona sasa nakwama kuhamia kwangu jamani?
Location: Mwanza
Msaada Please.