Mr possibility
Senior Member
- Mar 19, 2020
- 175
- 134
Naam salamu wakuu wa jf
Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa JF kwani narudi shule..
Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki
Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee
Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏
Lengo hasa la uzi naomba mniombee
Nasikitika kwamba kwa muda wa miezi minne nitalazimika kuzima simu na hivyo kuikosa JF kwani narudi shule..
Mimi ni form six na mwezi wa tano tunakabiliwa na mtihani wa taifa hivyo ni miezi minne tu imebaki
Mniombee sana ili niweze kufanya mitihani hii kwa muktadha wa kile nilichojifunza,pia nimesikia kuwa kufaulu vyema form vi kuna guarantee ya kwenda chuo kuanza na degree moja kwa moja hivyo mniombee
Nawasilisha🙏🙏🙏🙏🙏