Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Hapa na umiza kichwa sana, ni kwanini wanawake wanatuomba hela sipati majibu kabisa
Awe sio mkeo anaomba hela
Awe ni mkeo anataka hela
Awe ni rafiki wa kike anaomba hela
Awe ni mpenzi au mchumba anaomba hela
Awe hata ndo umetoka mtongoza anaomba hela
Ni kwanini basi wanawake wanatuomba hela sisi wanaume , hata akiwa na kazi atomba hela haijalishi ana hela nyingi bado ata omba na akiwa hana kazi ataimba hela na papuchi atatafuta namna akupe ili aendelee kukuchuna.
Je, ni kwanini?
Awe sio mkeo anaomba hela
Awe ni mkeo anataka hela
Awe ni rafiki wa kike anaomba hela
Awe ni mpenzi au mchumba anaomba hela
Awe hata ndo umetoka mtongoza anaomba hela
Ni kwanini basi wanawake wanatuomba hela sisi wanaume , hata akiwa na kazi atomba hela haijalishi ana hela nyingi bado ata omba na akiwa hana kazi ataimba hela na papuchi atatafuta namna akupe ili aendelee kukuchuna.
Je, ni kwanini?