Wakuu kweli hapa nina mke ?

Wakuu kweli hapa nina mke ?

Kugawa namba ni asili yake, mbona hata yeye alipoomba namba akapewa hadi akaamua kumuoa, sasa kumuweka ndani isiwe ndo kumyima uhuru
Kama umemkataza wewe km mumewe mambo ya kugawa namba basi ana shida. Hakuna mke. Inabidi ww km mume uwe na sauti juu yake.. nmekukataza kugawa namba kwa yeyote, na sio ombi. Km anakuheshimu lazima aache. Akishindwa hilo ndoa haiwezi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka

Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu

Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
Hizi showoffs, fake life and standards za mitandao ya kijamii zina madhara sana, kama hazikuletei frustrations mwenyewe binafsi, jua kuna kundi la vijana wadogo wa kike na kiume zinawafanya waimagine maisha yao kwa kukuangalia wewe. Tupunguze, hazina afya.
 
Hukueleza unipomuuliza alikupa sababu gani ya yeye kutoa namba zake, mimi mke wangu pia ana tabia hiyo ya kucheka na watu wengi na kugawa namba lakini hilo sio tatizo ni kutokana na shughuli ya biashara anayoifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka

Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu

Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA

Hapa una Mkeka
 
Mkojoze mkuu...humkaushi nyege wifi yetu....ndomana anacheka Cheka utatombewa cku c nyingi...

am better here
 
Safi , Unajua mademu huwa wanajitoa ufahamu.

Kiukweli linapokuja suala LA Amani moyoni mwangu, NI LAZIMA MWANAMKE AWE VILE NAVYOTAKA, HII NI LAZIMA WALA HAINA MAZUNGUMZO.



sasa basi kwakua umeonyesha hiyo NI tabia ambayo NI mbaya kwako... MWAMBIE ACHA KABIA TABIA YAKO, SIIPENDI TABIA IYO YA KUGAWAGAWA NAMBA NAKUCHEKACHEKA OVYOO NA WANAUME.....




niamin nachokuambia.....DEMU ASIJE KUKUDANGANYA ETI YE "MARAFIKI ZAKE NI WANAUME TUU, OHOOOO HATA AKIWAPOST NIKAWAIDA. OHOOO ANAPENDA TU KUSALIMIA WANAUME, OHOOOO WANAWAKE WENZAKE WANA MAJUNGU ......".. UYO DEMU NI MALAYA SUGU YAAN AMEKUBUHU.
 
Back
Top Bottom