Wakuu kweli hapa nina mke ?

Wakuu kweli hapa nina mke ?

Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka

Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu

Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
Huna mke mke hapo ndugu.maana mwanamke aliyoko kwenye ndoa ni kosa kubwa kugawa namba hovyo au ni mfanya biashar anawapa namba wafanya biashar wenzie??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka

Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu

Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
Ataliwa kimasihara usipoizuia hio tabia ya Shem!
 
Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka

Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu

Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA

Ulipaswa kujua haya kabla hujaoa..... kwa sasa wewe endesha tu Huu mzigoe ndugu!
 
inaonekana we ndio umemlazimisha kuishi nae, ukiona mke wako anacheka cheka na wanaume mbele yako ujue anawapa ishara mume wake ni bwege hamuheshimu, mke hatakiwi kuwa hivyo, huyo hakuheshimu kabisa.
 
Mimi wangu ukimuomba namba hata kama ameshika simu anakuambia sina simu ukisema mbona hiyo hapo naiona anakuambia hii alininunulia mme wangu, hatuwezi kuwasliana na ww kwa kutumia simu aliyonunua mume wangu ukitaka mawasiloano na mimi ninunulie yako tena iwe smartphone aina ya Samsung angalau ya laki5.. Mwanaume akisikia hivo anatoka nduki kwa kusema poa nitakununulia.. Ndo inakuwa imeisha iyoo... Wanajikataa wenyewe kiivo

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo unavyo danganywa alafu unakubali
 
Afadhari hawa NIDA wanagawa namba baada hata ya mwezi lakini huyu ke wangu haichukui hata dakika 2 kumuomba namba

Nawewe alikupa namba yake kwastyle hiyo hiyo??
 
Jifunze kutokua na wivu wa kijinga

ciproflaxin
 
Dah umenikumbusha mbali sana [emoji23]
Safi , Unajua mademu huwa wanajitoa ufahamu.

Kiukweli linapokuja suala LA Amani moyoni mwangu, NI LAZIMA MWANAMKE AWE VILE NAVYOTAKA, HII NI LAZIMA WALA HAINA MAZUNGUMZO.



sasa basi kwakua umeonyesha hiyo NI tabia ambayo NI mbaya kwako... MWAMBIE ACHA KABIA TABIA YAKO, SIIPENDI TABIA IYO YA KUGAWAGAWA NAMBA NAKUCHEKACHEKA OVYOO NA WANAUME.....




niamin nachokuambia.....DEMU ASIJE KUKUDANGANYA ETI YE "MARAFIKI ZAKE NI WANAUME TUU, OHOOOO HATA AKIWAPOST NIKAWAIDA. OHOOO ANAPENDA TU KUSALIMIA WANAUME, OHOOOO WANAWAKE WENZAKE WANA MAJUNGU ......".. UYO DEMU NI MALAYA SUGU YAAN AMEKUBUHU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpango wangu nataka nimuanzishie dozi ya makofi nione kama itasaidia
Njia hii waliowai kuijarib waliambulia si tu kugawa No bali na kugawa k makusudi had mfe kwa ngoma. Tena kwa watu wako wa karib. Au wa ovyo. Njia bora Mshawishi. Ukiona bado MSHAWISHI MSHAWISH. km hatabadiliki bas hapo ndo u MSHAWISHI na KUMSHAWISHI na KUMSHAWISHI!
 
Back
Top Bottom