Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,124
- 93,236
Wapi Mkuu?
Wapi Mkuu?
Mmmh..namba za nida kuzipata nibakazi mzee.Tuwekee picha yake tumthaminise kwanza!
Kugawa namba siyo tatizo, hata nida wanagawa namba.
Inawezekana alikuwa mtu wa kufungiwa sana ndani.Sasa amekutana na mambo mageni "nje"!Mchunguze na umrekebishe kwa staha kile unachodhani ni kero kwako.Be gentle,buddy!Tumia akili na ujanja si amri na mabezo.Safari njema!😂Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka
Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu
Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
naomba namba yake mkuuNiamini mkuu angawa sana namba mpaka anakera