Marine creature
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 2,255
- 2,978
hiyo n ya mwsho mkuu,usimuarakishie mapema ivoMpango wangu nataka nimuanzishie dozi ya makofi nione kama itasaidia
hiyo n ya mwsho mkuu,usimuarakishie mapema ivoMpango wangu nataka nimuanzishie dozi ya makofi nione kama itasaidia
OK sawa hili liko ndani ya uwezo wangu
huyo sio demu ni m-pesa.Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka
Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu
Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
mnaokula kimasikhara ndio mlivyo.Tabia mbovu ni hiyo ya kwako ya kuwa na wivu wa kijinga mkuu!
Mrangi, ndukiiindukiiiKabila gani kwanza tuanzie hapo?
Huyo ni CHAWOTE......!Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka
Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu
Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli inanikela sana na naona asipoiacha naweza kufanya kama alivyofanya STAMINA
Ha
M-pesa tena
Sasa kama kuna biashara si angechukua leseni au kitambulisho cha mjasiriamaliKugawa namba nikurahisisha tu biashara ili bidhaa ikihitajika anatafutwa chap, note: usiweke negative tu inawezekana pia ni biashara nzuri, ila trust me kuna biashara inafanyika
Sent using Jamii Forums mobile app