figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
kama Unaenda tegeta, africana, mbezi beach,unatoka k/koo, ubungo au posta, unapanda gari la mwenge unashuka. ukisha shuka unapanda gari ya mwenge to bondeni kawe unashuka lakini kwa sababu bondeni hamna sehemu ya kugeuzia unashukia njia panda ya kawe. ukifika njia panda ya kawe unatembea kwa miguu unavuka daraja, ambapo ukishavuka ndo unakutana na magari ya tegeta, ununio, bagamoyo n.k. so kama unapanda daladala andaa nauli ya kutosha. ni hayo tu. poleni sana. Mia