Col Miraji
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 546
- 508
Watz mnaenda mbali hadi sasa mnataka idara katika kutekeleza majukumu yake wasivae nguo flani? Kuna kitu kinaitwa "kamoflaji" au kuendana na mazingira kwa lugha rahisi.
Zinawasha au?Mkuu unazifahamu nywele kipilipili tabia zake.
Zina tabia ya kumulika watekaji.Zinawasha au?
Barikiwa Mkuu kwa ufafanuzi huu..Mkuu huyo ni Detail Leader wa Presidential Security Unit, Wapo DL kama watatu ivi ambao frequently huambatana na Raisi, Jamaa ndio anaongoza Unit nzima ya walinzi wa Raisi wale wanao onekana na wasio onekana Mara nyingi huwa mkono wa kushoto wa Raisi na Mara nyingi kama sio zote Kiusalama anapaswa kuvaa nguo za kufanana Na Raisi,Wapishane kidogo tu kama rangi ya Tai au ki icon cha president Standard kama Raisi atapenda kukiweka Juu ya koti la suti kushoto, Hon JPM yeye naona anapendelea zaidi ki icon cha Bara la africa
naona baada ya kupitishwa na chama direct JPM akakabidhiwa huyo jamaaMkuu huyo ni Detail Leader wa Presidential Security Unit, Wapo DL kama watatu ivi ambao frequently huambatana na Raisi, Jamaa ndio anaongoza Unit nzima ya walinzi wa Raisi wale wanao onekana na wasio onekana Mara nyingi huwa mkono wa kushoto wa Raisi na Mara nyingi kama sio zote Kiusalama anapaswa kuvaa nguo za kufanana Na Raisi,Wapishane kidogo tu kama rangi ya Tai au ki icon cha president Standard kama Raisi atapenda kukiweka Juu ya koti la suti kushoto, Hon JPM yeye naona anapendelea zaidi ki icon cha Bara la africa
Sio mmoja wako watatu bossnaona baada ya kupitishwa na chama direct JPM akakabidhiwa huyo jamaa
mi nimeona zambarau mkuuDuniani kuna watu weusi jamani
Hivi Hashimu Rungwe alikuwa na walinzi ?Uyo ni afisa usalama kitengo cha Ulinzi wa Rais. Kila kipindi cha kampeni wanatolewa kuwalinda wagombea wote wa Urais.
Jambo la kushangaza ni yeye kuvaa jezi ya Chama wakati hawatakiwi.
Ndio maana Zitto anapambana Usalama wa Taifa ufumuliwe upya.
Mungu anakuona mkuu, huyo Black ni mchafu? Real?Ndiyo maana kwenye Viongozi wa Kimataifa anatumia mwingine. Rais Ameshamgundua kua ni Mchafu Cheki huyu Jamaa akiwa na Ugeni wa Kimataifa alivyo Smart!
View attachment 494660 View attachment 494662
Acha kunichonganisha na TISS!Duu umewa disclose noma mkuu
Ni hivi, mgombea wa Urais anaepitishwa na Chama Tawala anakuwa pia amepata endorsement ya TISS kwamba anafaa.
Hivyo, anakuwa spotted na TISS pia na Wanakuwa na wajibu wa kuhakikisha usalama wake from that moment. Ndiyo maana uliona hilo la huyo jamaa.