Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,817
- Thread starter
- #61
Ndiyo mkuu zile nywele hujipekecha hata zikiwa ndogo! Zina usumbufu sana inatakiwa uzichane kila baada ya Nusu saa!Mkuu unazifahamu nywele kipilipili tabia zake.
Ndiyo mkuu zile nywele hujipekecha hata zikiwa ndogo! Zina usumbufu sana inatakiwa uzichane kila baada ya Nusu saa!Mkuu unazifahamu nywele kipilipili tabia zake.
Nadhani atakuwa muumini wa Gwajimaameokoka nw days... hahhaha
Sio Mkuu huyu ni Mwingine Hao Detail Leader Huambatana Na Raisi Post ya juu nimesema wapo watatu tofauti, Huyo wa Gwanda ni Aide De Camp (ADC) habadilikiHuyu.....
Ndio huyu....
Hapana sikubali.
Kwa mjinga na mpumbavu ni salama kbs lakini kwa mtu mwenye fikra pevu, anaejitambua, anaetaka haki, anaezungumza ukweli sio salama kbs hasa usalama binafsi.Hii nchi siyo salama kabisa.
Unavutiwaje na tabasam la kulazimisha? Hilo sio tabasam lake basi tu Mungu anamuona.Nimevutiwa na tabasamu la mama janeti, wanaume wakorofi wanaoaga wanawake visu
Mbona ni watu wawili tofauti? Mmoja mweupe na mwingine mweusi tu au mchubuo?Kinachonishangaza ni Kuvaa sare za Chama cha Mapinduzi kipindi chote cha Kampeni lakini sasa hivi pia anaonekana yupo na Mkemia.
View attachment 494620View attachment 494621
Okay wakuu kuna Mmoja anajihusisha sana na Ugeni wa Kimataifa na Huyo Black anajihusisha na Local guests au ziara ya hapa TZ
Ni Tofauti bossMbona ni watu wawili tofauti? Mmoja mweupe na mwingine mweusi tu au mchubuo?
Jamaa yupo powah si mchafu sema wamshauri awe anatembea na kitana hah hah hah.Ndiyo mkuu zile nywele hujipekecha hata zikiwa ndogo! Zina usumbufu sana inatakiwa uzichane kila baada ya Nusu saa!
Soma vizuri kwenye picha za chini na juuMbona ni watu wawili tofauti? Mmoja mweupe na mwingine mweusi tu au mchubuo?
Ni hivi, mgombea wa Urais anaepitishwa na Chama Tawala anakuwa pia amepata endorsement ya TISS kwamba anafaa.Kumbe TISS ni idara ya CCM?
Hapo kwenyewe kama hakulala siku nzima..
Mwambieni awe anachana nywele basi.
ntajitambulisha kama yule aliyeambiwa umetumwa na nani jitambulishe....Hahaha at your own risk lakini
La father house hujaliona?Nimevutiwa na tabasamu la mama janeti, wanaume wakorofi wanaoaga wanawake visu
Mambo ya Auto correction boss nilimaanisha Bara la AfricaAfrica continents!