Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Hadi hapa Chini TEC wanashangaa, inakuaje muda wote huo mpaka Sasa hamna kinachoendelea Mahakamani.
View: https://x.com/HildaNewton21/status/1926620724153688282
Sasa ni ukweli uluo wazi, Genge linaloendesha Mauaji na Utekaji ni Genge la Rais .
Sasa Polisi wakisema tunamkamata, tunampeleka Mahakaman, Unapigwa simu kutoka Kwa Rais ,"Weeee weeee".
Kwa Lugha nyingine, Viongozi baadhi waandamizi wa Dola, wamechoka nahúu Uhuni wa Samia na Genge lake !!.
Kuna MTU atarudi Mavumbini hata Kwa kulazimishwa.
View: https://x.com/HildaNewton21/status/1926620724153688282
Sasa ni ukweli uluo wazi, Genge linaloendesha Mauaji na Utekaji ni Genge la Rais .
Sasa Polisi wakisema tunamkamata, tunampeleka Mahakaman, Unapigwa simu kutoka Kwa Rais ,"Weeee weeee".
Kwa Lugha nyingine, Viongozi baadhi waandamizi wa Dola, wamechoka nahúu Uhuni wa Samia na Genge lake !!.
Kuna MTU atarudi Mavumbini hata Kwa kulazimishwa.