hi baba mwita!mith uuu!nimekuja besti, unajua mapenzi ni tekniks wala sio kabila la mtu!
kama ni hasira ama weakness, hakuna kabila ambalo liko perfect 24 hours.
trust me, hata hao wahindi wanaojua mapenzi, leo hii wanabakana na kuning'inizana juu ya miti,
sembuse mi mkurya kusemwa eti kisa nina hasira, hizo ni defence mechanisms tu za kutomtaka mtu..
ni hayo tu madam sir.
halafu wanajiona ni wajanja. nyankundo
halafu wanajiona ni wajanja. nyankundo
Mhhhh wakurya,,,Mungu aniepushie..
...akuepushie raha nyakimeni!!
haah haah
hi baba mwita!mith uuu!
Hahahahaaah,,,,,,,,hii nimeipenda.Cha kushangaza mnavokimbilia uchagani sasa! Ni ili ku punguza makali ya rangi au?
I MISSED YOU TOO HONEY.. em sema neno, unaionaje mada?
tatizo noti ama kabila la mtu?