Mhhhh wakurya,,,Mungu aniepushie..
Hutaki tall dark guys??
Mhhhh wakurya,,,Mungu aniepushie..
Wakurya tumekuwa tunyanyasika sana tunapoenda kutambulisha na wachumba zetu wa makabila tofauti hadi kufikia kukataliwa kuoa kwa sababu ya kabila letu.
Imenitokea mimi na ndugu zangu wengi kwa unyanyasaji huu natoa wito kwa wakurya wote kupiga mimba kwanza kabla ya kwenda kutambulishwa.
Nenda jeshin utakuta mmejazana kisi kwamba jeshi linaweza kuamlishwa kwa kikurya.. mf. MURAAAAA TEMBEA...
au magetaaaaaaaaaaaa geuka.. Chachaaaaaaa kimbia
Mhhhh wakurya,,,Mungu aniepushie..
...akuepushie raha nyakimeni!!
Wakurya tumekuwa tunyanyasika sana tunapoenda kutambulisha na wachumba zetu wa makabila tofauti hadi kufikia kukataliwa kuoa kwa sababu ya kabila letu.
Imenitokea mimi na ndugu zangu wengi kwa unyanyasaji huu natoa wito kwa wakurya wote kupiga mimba kwanza kabla ya kwenda kutambulishwa.
Hatujawatuma watoto wenu watupende.
Hujui tu wasichana wengi wanawapenda sana wakurya na sababu kubwa ni misimamo na ungangari wao nadhani hata kitandani wako vizuri
tumeshajua mpango wenu
Nakuvizia nikupige mimba
jilengeshe basi!haha hunipati lol
Mura Bulldog huko tupo kidogo sana siku hizi wakina mwakanini ndo wengi humo.
Tatizo Kurya pipo ni Washamba saaaana!&@#
mwakanini ndio wa wapi hao mkuu?
Kama ni mkurya wa tarime sikubali hata akipigwa mimba,
Kitandani wako vizuri usiskie ila me nishawai kula kibao katikati ya shughuli "eti nikae vizuri" duh stimu ilikata hapo hapo...kila nikikumbuka sina hamu nao!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo Kurya pipo ni Washamba saaaana!&@#
Excel njoo usikie!!!