Wakurugenzi wengi wa Halmashauri ni majipu

Hapa Kahama


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji bw. Anderson pamoja na Mkuu wa Wilaya bw. Fadhili wapo ktk Ugomvi mkubwa kisa wanagombea Msichana
Taarifa zao zimeifikia Mamlaka ya Uteuzi kuhusu huo ujinga wanaoufanya na kuacha kushughulikia masuala ya Wananchi.

Mzee
Hapo Halmashauri ya Mji wa Kahama nakuja Mimi kusafisha na kusaidiana na Watumishi/Wananchi na Wadau wengine ili kuleta maendeleo ya Mji wetu
 
Zipo tetesi kwamba hawa wakurugenzi wa halmashauri,miji ,manispaa na majiji walipewa mikataba ya miaka miwili na mikataba yao imeisha juni 30 2018.

Wapo baadhi yao wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika kusimamia shughuri za serikali, wameshindwa kusimamia miradi ya maendeleo, wengine walevi , wengine kazi yao kujisifu tu , wengine wameshindwa hata kufikia 40% ya makusanyo ya mapato ya ndani, wengine hawapeleki fedha za vijana na wanawake, wengine wevi, wengine wamejilipa posho siku 400 wakati mwaka una siku 365, wengine kazi yao kununua ardhi za watu kana kwamba waliambiwa wakawe wawekezaji . wengine miji yao michafu, wengine wamekuwa watu wa migogoro na madiwani, wengine hawakai vituoni , wengine wababe na wengine wanafanya kazi kwa mazoea.

Je ungependa mkurugenzi wako arudi. au atumbuliwe tu kwa sababu hana faida, au ahamishwe.
Mhhh, Too general
 
Hapa Kahama


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji bw. Anderson pamoja na Mkuu wa Wilaya bw. Fadhili wapo ktk Ugomvi mkubwa kisa wanagombea Msichana
Hahahaha......aisee una utani sana! Kahama nzima msichana ni moja kiasi cha kugombaniwa na hao vigogo? Huyo binti anamtaka nani kati ya DC na DED? Tuwekee picha ya huyo mrembo tafadhali....
 
Hahahaha......aisee una utani sana! Kahama nzima msichana ni moja kiasi cha kugombaniwa na hao vigogo? Huyo binti anamtaka nani kati ya DC na DED? Tuwekee picha ya huyo mrembo tafadhali....
DC tumeshamtoa tayari
DED naye ajiandae kukabdh funguo za ofc
IMG-20180715-WA0002.jpg
 
Anatakiwa kupeleka mtu wa kazi pale make kuna miungu watu idara zote isipokuwa idara ya afya ndo iko smart. Anatakiwa kuanza na ya ujenzi na miundombinu huko ndo kumejaa uswahiba wa kutisha
Sawa
Hao miungu watu hawana akili kabisa
Badala ya kutumikia Wananchi, wanaleta Mambo ya kijinga
Serikali ina mkono mrefu.

DED mpya anakuja
 
Naona wasiteuliwe ila kuwe na chuo cha kuwapika mpaka waive asiyeiva atumbuliwe hukohuko .Ni cheo muhimu sana kinachohusisha maendeleo .
 
Zipo tetesi kwamba hawa wakurugenzi wa halmashauri,miji ,manispaa na majiji walipewa mikataba ya miaka miwili na mikataba yao imeisha juni 30 2018.

Wapo baadhi yao wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika kusimamia shughuri za serikali, wameshindwa kusimamia miradi ya maendeleo, wengine walevi , wengine kazi yao kujisifu tu , wengine wameshindwa hata kufikia 40% ya makusanyo ya mapato ya ndani, wengine hawapeleki fedha za vijana na wanawake, wengine wevi, wengine wamejilipa posho siku 400 wakati mwaka una siku 365, wengine kazi yao kununua ardhi za watu kana kwamba waliambiwa wakawe wawekezaji . wengine miji yao michafu, wengine wamekuwa watu wa migogoro na madiwani, wengine hawakai vituoni , wengine wababe na wengine wanafanya kazi kwa mazoea.

Je ungependa mkurugenzi wako arudi. au atumbuliwe tu kwa sababu hana faida, au ahamishwe.
Mkuu Ibesa Mau nashauri mrudi kwenye utaratibu wa zamani. Nakumbuka Mwalimu Nyerere alipoanzisha cheo cha RDD aliteua watu wenye "proven performance recods" kama Headmasters wa shule as sekondari n.k. Pia pamoja na uchache wa "Masters degree holders" hao wachache aliwaanzishia wilayani kama DDD halafu kutokana na utendaji nzuri wao walipandishwa kuwa RDD, Makatibu Wakuu au kuteuliwa kuwa Mawaziri. Nakumbuka mfano mmoja kwa utaratibu huu alihamishiwa Mwanga na baadaye akawa Katibu Mkuu na kwa kumbukumbu zangu alistaafu akiwa Katibu Mkuu.
Siku hizi kuna vijana wengi "graduates" wazuri tu waanze utumishi wa umma kuanzia kwenye tarafa halafu wafanyieni "performance review" halafu ndiyo muwapeleke kwenye hizi Halmashauri za Wilaya, Mikoa hadi Serikali kuu. Background checks zitaondoa hii migongano isiyo na afya kabisa kati ya Halmashauri na Uongozi wa Wilaya au Mkoa. Mara nyingi ni matatizo ya "watu" na siyo "mfumo".
 
Aanze na manispaa ya Bukoba, hawajielewi
Mapato asilimia kubwa yamechukuliwa na serikali kuu!!na hayarudishwi wao wafanyeje?hicho kidogo ambacho ni mapato ya ndani mtu anakupangia matumizi eti towa asilimia 10 uwape wanawake na vijana,pesa za maendeleo hazipelekwi kama zilivyopitishwa na bunge wao wafanye nini?
 
I
Mapato asilimia kubwa yamechukuliwa na serikali kuu!!na hayarudishwi wao wafanyeje?hicho kidogo ambacho ni mapato ya ndani mtu anakupangia matumizi eti towa asilimia 10 uwape wanawake na vijana,pesa za maendeleo hazipelekwi kama zilivyopitishwa na bunge wao wafanye nini?
na uhakika kwa vyanzo walivyoachiwa wamekusanya japo kwa 80%? Au unasema tu
 
Anatakiwa kupeleka mtu wa kazi pale make kuna miungu watu idara zote isipokuwa idara ya afya ndo iko smart. Anatakiwa kuanza na ya ujenzi na miundombinu huko ndo kumejaa uswahiba wa kutisha
idara ya ujenzi,,elimu,mifugo ni kina nani?
 
Zipo tetesi kwamba hawa wakurugenzi wa halmashauri,miji ,manispaa na majiji walipewa mikataba ya miaka miwili na mikataba yao imeisha juni 30 2018.

Wapo baadhi yao wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika kusimamia shughuri za serikali, wameshindwa kusimamia miradi ya maendeleo, wengine walevi , wengine kazi yao kujisifu tu , wengine wameshindwa hata kufikia 40% ya makusanyo ya mapato ya ndani, wengine hawapeleki fedha za vijana na wanawake, wengine wevi, wengine wamejilipa posho siku 400 wakati mwaka una siku 365, wengine kazi yao kununua ardhi za watu kana kwamba waliambiwa wakawe wawekezaji . wengine miji yao michafu, wengine wamekuwa watu wa migogoro na madiwani, wengine hawakai vituoni , wengine wababe na wengine wanafanya kazi kwa mazoea.

Je ungependa mkurugenzi wako arudi. au atumbuliwe tu kwa sababu hana faida, au ahamishwe.

Anza kwanza maelekezo ndio uwafuate. Mbona hukuja hapa jf wakatinafanya uteuzi.
 
Zipo tetesi kwamba hawa wakurugenzi wa halmashauri,miji ,manispaa na majiji walipewa mikataba ya miaka miwili na mikataba yao imeisha juni 30 2018.

Wapo baadhi yao wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika kusimamia shughuri za serikali, wameshindwa kusimamia miradi ya maendeleo, wengine walevi , wengine kazi yao kujisifu tu , wengine wameshindwa hata kufikia 40% ya makusanyo ya mapato ya ndani, wengine hawapeleki fedha za vijana na wanawake, wengine wevi, wengine wamejilipa posho siku 400 wakati mwaka una siku 365, wengine kazi yao kununua ardhi za watu kana kwamba waliambiwa wakawe wawekezaji . wengine miji yao michafu, wengine wamekuwa watu wa migogoro na madiwani, wengine hawakai vituoni , wengine wababe na wengine wanafanya kazi kwa mazoea.

Je ungependa mkurugenzi wako arudi. au atumbuliwe tu kwa sababu hana faida, au ahamishwe.
Nakuunga mkono 100% mkuu,na hata wengine wanashirikiana na madiwani kuhujumu miradi ya wananchi.Sijui Watanzania tutaponea wapi,najionea huruma sana.Wale waliopaswa kutuletea maendeleo, ndio vinara wa kutufukarisha.Magufuli ana kazi ngumu.
 
Zipo tetesi kwamba hawa wakurugenzi wa halmashauri,miji ,manispaa na majiji walipewa mikataba ya miaka miwili na mikataba yao imeisha juni 30 2018.

Wapo baadhi yao wameonyesha udhaifu wa hali ya juu katika kusimamia shughuri za serikali, wameshindwa kusimamia miradi ya maendeleo, wengine walevi , wengine kazi yao kujisifu tu , wengine wameshindwa hata kufikia 40% ya makusanyo ya mapato ya ndani, wengine hawapeleki fedha za vijana na wanawake, wengine wevi, wengine wamejilipa posho siku 400 wakati mwaka una siku 365, wengine kazi yao kununua ardhi za watu kana kwamba waliambiwa wakawe wawekezaji . wengine miji yao michafu, wengine wamekuwa watu wa migogoro na madiwani, wengine hawakai vituoni , wengine wababe na wengine wanafanya kazi kwa mazoea.

Je ungependa mkurugenzi wako arudi. au atumbuliwe tu kwa sababu hana faida, au ahamishwe.
Twende kwa facts sio kubwabwaja tu
 
Mapato asilimia kubwa yamechukuliwa na serikali kuu!!na hayarudishwi wao wafanyeje?hicho kidogo ambacho ni mapato ya ndani mtu anakupangia matumizi eti towa asilimia 10 uwape wanawake na vijana,pesa za maendeleo hazipelekwi kama zilivyopitishwa na bunge wao wafanye nini?
Matatizo yao si pesa tu mkuu make kote kuko hivyo Tz nzima, tatizo la hawa watendaji ni kukosa plan. Hata kusafisha na kurudishia mitalo ya maji mjini wanasubiri bajeti kuu????
 
Back
Top Bottom