Wakuringa aringe ng'ombe

Wakuringa aringe ng'ombe

kumbe i never knew sasa wakitaka kuutumia wanautumiaje wanaukaanga au wanauchemsha au wanaula hivyohivyo mbichi?


Mkuu haukaangwi wala kupikwa ni hivyo hivyo ukiwa mbichi na ukiwa mgumu
Ila huwa sometime eti wanauvalisha karatasi na kuula ndani ya karatasi sasa sijui kama wanahisi utamu wake
Mtafute Karucee mkuu Mndengereko akuambie utamu wa huu mhogo nyama
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Karucee, Kindly do ze needful with ref to Mr Rocky 's coment.

Many thanks
Sina aisee. nadhani nahitaji CT scan.

Hebu mtafute Karucee akuchunguze wala huhitaji CT scan muulize tuu akuangalie mkiwa wawili tuu halafu atuletee majibu ila asiuchezee mhogo nyama maana huwa una tabia ya kulipuka na kusababisha madhara kwa watumiaji




Mhogo mzizi unaliwa na binadamu wa jinsia zote mkuu Mndengereko ila ule wa nyama unaliwa na jinsia moja tuu ya kike na dume haruhusiwi kuula wala kuushika wala kuukaribia ni taboo ni nuksi ni balaa ni shidaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom