Wakuringa aringe ng'ombe

Wakuringa aringe ng'ombe

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
wakuringa aringe ngo'mbe, akinya mbolea, akichinjwa ngozi inawambwa ngoma, alisikika konda akimpa mabango dada mmoja mrembo baada ya kukanyagwa bahati mbaya na kuanza kuja juu,
 
Kweti muhogo ndio dili majani mboga ,matawi kuni ,mizizi chakula
 
Sina aisee. nadhani nahitaji CT scan.

Hebu mtafute Karucee akuchunguze wala huhitaji CT scan muulize tuu akuangalie mkiwa wawili tuu halafu atuletee majibu ila asiuchezee mhogo nyama maana huwa una tabia ya kulipuka na kusababisha madhara kwa watumiaji


huo mhogo nyama unaliwa na viumbe gani maana najua muhogo mizizi unaliwa na binaadamu ila huo muhogo nyama kwa kweli ni mupya

Mhogo mzizi unaliwa na binadamu wa jinsia zote mkuu Mndengereko ila ule wa nyama unaliwa na jinsia moja tuu ya kike na dume haruhusiwi kuula wala kuushika wala kuukaribia ni taboo ni nuksi ni balaa ni shidaaa
 
Last edited by a moderator:
Sina aisee. nadhani nahitaji CT scan.

Hebu mtafute Karucee akuchunguze wala huhitaji CT scan muulize tuu akuangalie mkiwa wawili tuu halafu atuletee majibu ila asiuchezee mhogo nyama maana huwa una tabia ya kulipuka na kusababisha madhara kwa watumiaji




Mhogo mzizi unaliwa na binadamu wa jinsia zote mkuu Mndengereko ila ule wa nyama unaliwa na jinsia moja tuu ya kike na dume haruhusiwi kuula wala kuushika wala kuukaribia ni taboo ni nuksi ni balaa ni shidaaa
that means muhogo nyama unapatikana katika mwili wa binaadamu wa kiume!!??? na unahitajika kwa binaadamu wa jinsia ya kike.
 
Back
Top Bottom