Mikituno ya ujasirimali ni ngumu sana kwa Wabongo haya mambo hayawezekani kabisa, Watanzania story nyingi sana ukija kwenye vitendo ni O last time iloorganiziwa meeting Dar amabpo tulukutana Rombe Green View Hotel kama sijakosea jina. Cha kushangaza watu wa mikoiani ndo walikuwa wengi, watu wa hapo hapo Dar walikuwa kama 6 kama sijakosea, na kabla ya hapo kila mtu alisema anafika, but siku ya mkutuna kulikwa na exchuuzin za kufa mtu kila mtu alikuwa na udhuru wake, kwa kifupi ilikuwa ni udhuru ndani ua udhuru.
Kwa kifupi sisi maneno mengi sana na porojo kibao na tangu siku ile niliachana na haya mambo na kama ni meetingi huwa nahudhuria za Wakenya ambao wakiwa na meeting kweli watu wanafika wote na hakuna usanii.
Sisi theory ni nyingi sana, halafu wengi wetu tunalima na kufuga theoreticaly but not practicaly so inakuwa vigumu sana.
Hivyo haya mambo ya mikutano kwa Tanzania hayawezekani kamwe, nimeshuhudia mikutano mingi watu wana aahdi kufika mwisho wa siku watu wanao fika ni 5 na wengine wanakuwa na sababu milioni za kushindwa kufika.
Kenya wako siriasi sana nimehudhuria mikutano yao mingi sana kama mwalikwa, wako very organized na jamaa wana tour za kufa mtu na ni very expensive tour but watu wana pay na wanaenda tour za kilimo, jamaa wananednaga hadi Israeli na South Africa kujifunza, sasa Sisi hebu organize tour hata ya hapo hapo Dar uone kama kuna mtu anafika.
Tuko radhi weekendi tukapige vitu kuliko kwenda kujifunza.
Hatuko siriasi na hatujawahi kuwa siriasi hata siku moja,