Wakulima wa JF getting-together

Wakulima wa JF getting-together

newmzalendo

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2009
Posts
1,386
Reaction score
582
Wale wakulima wanaotarajia kuanza kilimo its high time we get together. Malila and co. mko wapi?

Mkutano wa Tea Party wa tarehe 5, vipi?
 
Wakubwa sin a hakika Kama mkutano huu ulifayika au la....
Mimi nadhani ni vema kabisa wakulima na wafugaji au wadau wa maeneo hayo humu ndani ya JF tukutane na kubadilishana mawazo. Napendekeza iwe desemba hii hapa hapa Dar. Kwa wa mkoani na nje ya nchi tutapeana taarifa. Pendekeza siku na mahali please....
 
wale wakulima wanaotarajia kuanza kilimo its high time we get together .Malila and co. mko wapi? mkutano wa tea party wa tarehe 5,vipi?
naomba nami mniunge huko kwenye kilimo get together jamani wadau natka nijikite kwenye kilimo pls
no yangu ya whatsaap ni hii 0653 287784
 
Wakubwa sin a hakika Kama mkutano huu ulifayika au la....
Mimi nadhani ni vema kabisa wakulima na wafugaji au wadau wa maeneo hayo humu ndani ya JF tukutane na kubadilishana mawazo. Napendekeza iwe desemba hii hapa hapa Dar. Kwa wa mkoani na nje ya nchi tutapeana taarifa. Pendekeza siku na mahali please....
niunganisheni nami huko wadau
 
Mikituno ya ujasirimali ni ngumu sana kwa Wabongo haya mambo hayawezekani kabisa, Watanzania story nyingi sana ukija kwenye vitendo ni O last time iloorganiziwa meeting Dar amabpo tulukutana Rombe Green View Hotel kama sijakosea jina. Cha kushangaza watu wa mikoiani ndo walikuwa wengi, watu wa hapo hapo Dar walikuwa kama 6 kama sijakosea, na kabla ya hapo kila mtu alisema anafika, but siku ya mkutuna kulikwa na exchuuzin za kufa mtu kila mtu alikuwa na udhuru wake, kwa kifupi ilikuwa ni udhuru ndani ua udhuru.

Kwa kifupi sisi maneno mengi sana na porojo kibao na tangu siku ile niliachana na haya mambo na kama ni meetingi huwa nahudhuria za Wakenya ambao wakiwa na meeting kweli watu wanafika wote na hakuna usanii.

Sisi theory ni nyingi sana, halafu wengi wetu tunalima na kufuga theoreticaly but not practicaly so inakuwa vigumu sana.

Hivyo haya mambo ya mikutano kwa Tanzania hayawezekani kamwe, nimeshuhudia mikutano mingi watu wana aahdi kufika mwisho wa siku watu wanao fika ni 5 na wengine wanakuwa na sababu milioni za kushindwa kufika.

Kenya wako siriasi sana nimehudhuria mikutano yao mingi sana kama mwalikwa, wako very organized na jamaa wana tour za kufa mtu na ni very expensive tour but watu wana pay na wanaenda tour za kilimo, jamaa wananednaga hadi Israeli na South Africa kujifunza, sasa Sisi hebu organize tour hata ya hapo hapo Dar uone kama kuna mtu anafika.

Tuko radhi weekendi tukapige vitu kuliko kwenda kujifunza.

Hatuko siriasi na hatujawahi kuwa siriasi hata siku moja,
 
Wakubwa sin a hakika Kama mkutano huu ulifayika au la....
Mimi nadhani ni vema kabisa wakulima na wafugaji au wadau wa maeneo hayo humu ndani ya JF tukutane na kubadilishana mawazo. Napendekeza iwe desemba hii hapa hapa Dar. Kwa wa mkoani na nje ya nchi tutapeana taarifa. Pendekeza siku na mahali please....

Haya mambo hayawezekani, bora kila mtu awe bise na mambo yake, ni usanii na kudanganyana, hapa unaweza kupata watu waliko tiyari hata 1000 ila siku yenyewe utashangaa watu wanafika 6 tu na wengine wanatoa sababu za kutisha na wako Dar. Mimi tangu tufunge safari kutoka Arusha hadi Dar na watu wa Dar hapo hapo wakaingia mitini nilinawa mikono.
 
wale wakulima wanaotarajia kuanza kilimo its high time we get together .Malila and co. mko wapi? mkutano wa tea party wa tarehe 5,vipi?

Hii mikutano inatakiwa watu wote wako field yaani mkutano ambao kila mtu anakuwa nan uelewa na anapractise ila kama ni mikutano mnakutana wengine ndo kwanza wana proposal wengine wana ndoto na wengine wana practise itakuwa ngumu sana. mikutano inapendeza pale watu wote wanapo zungumza rugha moja, ila mkiingia wengine wanazungumza French, wengine, kiphilipino na wengine kiswahili hamtaelewana kamwe
 
Mikituno ya ujasirimali ni ngumu sana kwa Wabongo haya mambo hayawezekani kabisa, Watanzania story nyingi sana ukija kwenye vitendo ni O last time iloorganiziwa meeting Dar amabpo tulukutana Rombe Green View Hotel kama sijakosea jina. Cha kushangaza watu wa mikoiani ndo walikuwa wengi, watu wa hapo hapo Dar walikuwa kama 6 kama sijakosea, na kabla ya hapo kila mtu alisema anafika, but siku ya mkutuna kulikwa na exchuuzin za kufa mtu kila mtu alikuwa na udhuru wake, kwa kifupi ilikuwa ni udhuru ndani ua udhuru.

Kwa kifupi sisi maneno mengi sana na porojo kibao na tangu siku ile niliachana na haya mambo na kama ni meetingi huwa nahudhuria za Wakenya ambao wakiwa na meeting kweli watu wanafika wote na hakuna usanii.

Sisi theory ni nyingi sana, halafu wengi wetu tunalima na kufuga theoreticaly but not practicaly so inakuwa vigumu sana.

Hivyo haya mambo ya mikutano kwa Tanzania hayawezekani kamwe, nimeshuhudia mikutano mingi watu wana aahdi kufika mwisho wa siku watu wanao fika ni 5 na wengine wanakuwa na sababu milioni za kushindwa kufika.

Kenya wako siriasi sana nimehudhuria mikutano yao mingi sana kama mwalikwa, wako very organized na jamaa wana tour za kufa mtu na ni very expensive tour but watu wana pay na wanaenda tour za kilimo, jamaa wananednaga hadi Israeli na South Africa kujifunza, sasa Sisi hebu organize tour hata ya hapo hapo Dar uone kama kuna mtu anafika.

Tuko radhi weekendi tukapige vitu kuliko kwenda kujifunza.

Hatuko siriasi na hatujawahi kuwa siriasi hata siku moja,
Indeed boss
 
Wandugu naomba kama kuna mtu anaifahamu posf ilishawahi kuwekwa hapa inayohushu duka la mashine mbalimbali za kilimo nahisi liko mkwajuni dar naomba aniunganishe maana niliisoma the masaa machache nikapoteza simu.

Msaada taradhalini
 
Back
Top Bottom