Kwa uzoefu nilionao nimegundua ya kwamba wakufunzi wengi wa vyuo hapa Tanzania sio hawajawahi kusomea fani ya ualimu. Kibaya zaidi wanawafundsha wanafunzi kuwa waalimu bora.
Kwa mfano, mchumi ambaye hakuwahi kusoma kozi za elimu katika shajada anaandaa waalimu. Je huoni hilo ni tatizo?
Kwa mfano, mchumi ambaye hakuwahi kusoma kozi za elimu katika shajada anaandaa waalimu. Je huoni hilo ni tatizo?