Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,489
- 42,564
Samia anahitaji kuwa strong zaidi ya hapo!! Hatuwezi sifia uhuni wa kina Gwajima!! Gwajima ni mshenzi Kama washenzi wengine Samia aongeze dozi!Kweli Mbowe kahamisha wengi, ulivyokua unawapiga spana Raisi ambao walikua waislamu kua ni dhaifu na wameharibu hii nchi, ukianza na Mwinyi, Jk tena ukawa unawatukana watu wa mwambao wa pwani Leo imekua Samia be strong. Kweli naamini sasa makapi yameondoka CDM.
Wewe na msaliti Zitto Kabwe tofauti yenu ni nini?. Maana ulimsema sana kipindi hicho.