aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,220
Hela za kampeni hizo
Hadi accounts za Twiga zinasoma mtaji hasi kwa sh 21b hao Central Bank walikuwa wapi?
Mkuu hii nchi zilibakia dakika chache ingekuwa imeshauzwa!!!Mkuu waliokopa ni ccm.
Kukopa benki si dhambi na kama benki itafilisika kuna mambo mengi sana ya kuangalia. Jee waliokopa walikopa hela hizo kwa ajili ya kufanyia nini na je benki ilijiridhisha kwamba miradi iliyokopewa hela italeta faida itakayorudisha mkopo?
Ni mzindakaya ndio aliekopeshwa hayo mabilioniHaya tuje Benki kuu kwenyewe nayo kuna sehemu inapashwa kulahumiwa - miaka ya nyuma iliwahi kumsimamia former Minister/mbuge apewe mikopo ya mabillion kujenga kiwanda cha kusindika nyama ya ng'ombe au ranch sikumbuki vizuri, j
Kwa hiyo waliozipokea walizichoma moto au wamezitunza majumbani mwao? Au kampeni zilifanyikia nje ya nchi?Hela za kampeni hizo
Nina uhakika hujaelewa ulicho kinukuu!kwa hiyo unataka wasirudi....aisee unatia aibu sana...kulipa deni ni wajibu usitake kuleta siasa za mbowe hapa.
Ni mzindakaya ndio aliekopeshwa hayo mabilioni
Unamaanisha yule aliyeuza nyumba za serikali?Mzee wa NHC nae yumo
Namaanisha MboweUnamaanisha yule aliuza nyumba za serikali?
umefanya jambo la maana mnooo kubasilisha avatar picha yako ya yule kuku kipara........kama mnaambiwa hamsikii,mtapigwa tuu,maana hakuna namna nyingine
Kwani mbowe ndo aliuza nyumba za serikali?Namaanisha Mbowe
Hapa hakuna cha wengiMkuu waliokopa wengi ni ccm unafikiri watarudisha au watakamatwa, ccm ni kichaka cha uovu