Aisee, unao ujasiri.Mkuu waliokopa wengi ni ccm unafikiri watarudisha au watakamatwa, ccm ni kichaka cha uovu
Hivi collateral ya mbunge ktk kukopa ni ubunge wake au ni mali yenye thamani ya huo mkopo?Mkuu hiyo ndio nadharia lakini linapokuja suala la wanasiasa katika nchi hii nadharia na sheria zinawekwa pembeni mambo yanasonga. Huenda wengine walikopa kwa ajili ya kampeni ili wakipata vyeo walipe kwa kutumia mapato yanayotokana na siasa; hayapo sasa!!
Magufuli atumie ukichaa wake sawasawa, mijitu kama hii ni ya kufunga mileleMkuu swali ni, je, aliwahi kurudisha mkopo?
Huyo keshachanganyikiwa.hawezi kuandika chochote kile bila kumtaja mbowe.hata mkewe nyumbani inawezekana anamwambia akalale kwa mbowe.keshaathirika kwenye ubongo huyu.Hivi wewe upoje? Umesoma nilichoandika?
Mzindakaya si yule mzee wa CCM?Ni mzindakaya ndio aliekopeshwa hayo mabilioni
Madabida nae anauza RV fake.aisee hawa watu wataimaliza hii nchi.Iddi simba naye kaiuza UDA!!!
Sasa kama watu wa CCM ndio wwmekopa tena vigogo na hawataki kurudisha tusiseme? CCM wanasababisha mabenki yanafilisika huku ni kuwa uchumi wa nchi. EbooHivi nyie mna matatizo gani? Kufilisika kwa twiga bancorp kuna uhusiano gani na CCM? mnaelezwa sababu za kuu ni fedha kutorejeshwa na wateja wake waliokopa. Wengine mnakuja na comment za kuishambulia ccm bila sababu za msingi kabisa. Kwan kama huna hoja si ukae tu kimya?
SiasaHivi collateral ya mbunge ktk kukopa ni ubunge wake au ni mali yenye thamani ya huo mkopo?
Kwa hali hiyo kufanya maamuzi hivyo benki nyingi sana zitafilisika kwenye utawala huo JPM.
Nashangaa hili swala raisi kuhamisha pesa kwenye matumizi mengine bila kupitia bungeni. Tatizo la nchi yetu ni mfumo raisi amepewa madaraka makubwa sana ndo maana anafanya anavyotaka yeye hata kama anakosea.
Na waliokopa mashirika ya umma nao wasakwe
Mlitaka kulipana posho pesa za kwenda south afrcan ,kwa kisingizio cha kujifunza bunge linaendeshwaje ,mlipopitisha ile ya kulipana 300000/= makalio mbona haukushangaa kuwa ni matumizi ya hovyo ya pesa za walipa kodi
CCM hao wanafiki ndo wanalalamika benki zimefilisika wakati wao ndo wamekopa huko hawajarudisha pesaSasa kama watu wa CCM ndio wwmekopa tena vigogo na hawataki kurudisha tusiseme? CCM wanasababisha mabenki yanafilisika huku ni kuwa uchumi wa nchi. Eboo
Acha unafiki pesa zimetumika kwenye kampeni pesa nyingi zimechukuliwa na makada wa CCMBotomline is siasa imegeuzwa kichaka cha wenye tamaa ya kuila nchi hili mpaka ibaki mifupa! Hujiulizi tu wale wazee wawili waliotoka ccm wakiwa na nyadhifa kubwa nini kinawafanya wajifiche upinzani?
Tangu lini siasa ikawa ni investment ambayo bank itaweka katika category yake ya kustahili kupata mkopo?Acha unafiki pesa zimetumika kwenye kampeni pesa nyingi zimechukuliwa na makada wa CCM
Allen Kilewella
Mkuu juzi wakati raisi anaongea na wahariri wa vyombo vya habari alikuwa analalamika sana kwa kusema kwamba benki hii Twiga imefisilika kwa sababu watu wamekopa hawajarudisha wengi ni wanasiasa.
Kama ntakuwa nakosea utanikosoa ninavyojua mimi utaratibu wa kukopesha pesa una taratibu zake na masharti yake unapoenda kukopa pesa au kuna benki kama Twiga wao wanaangalia sura za watu maarufu ndo wanapewa mkopo?Je baada ya kukopa pesa na kushindwa kurudisha kuna hatua zinafuata kwa wahusika waliokopa ? Nisaidie kwanza hapo mkuu.
Unamaanisha yule aliyeuza nyumba za serikali?
Haya ndio maswali wahariri walipaswa kuuliza manake Kuna vitu inaonekana presidaa anajua peke yake Na sie tunatakiwa tumuombee tuu kwanini asitujurishe wote Ili tukiomba tujue tunaomba nini.