Wako wapi hawa siku hizi?

Kuhani AKA Kuhani Mkuu,AKA Dillunga?
Pia Madela wa Madilu na avatar yake ya mwanzoni.
Yournameismine et al
 
Ukiona watu wamepotea, kuna mengi yanawakuta hasa sisi binadamu, hivyo tusishangae achalia mbali wanaingia kwa mgongo wa nyuma, Leo Nyamayao kesho pr------,.


haaa jamani mcjichanganye, FL unawachanganya watu humu, Preta ni Preta, Nyamayao ni Nyamayao, nilikuwa Babra nikarudia Nyamayao...hope nimeeleweka.
 
Kuna members nilikuwa nawaona sana hapa na mada nzuri kabla sijawa member. Wako wapi siku hizi. Kwa wenye taarifa please

Mfano
Exaud Makyao
Kibunango
Josm
Sipo
Faith
Nyamayao
MTM

Na wengine wengi. Nilipenda michango yao. Wako wapi?

Nipo mkuu, majukumu yamekuwa mengi, pia jukwaa letu lile la mambo ya ICT limedorora sana sijui watu wameichoka hiyo kazi au vipi?
 
Mzalendohalisi,susuviri,zalendohalisi,zemarcopolo,masatu,fairplayer....
 
mwafrika wa kike,fidel marshall..watu naowamiss sana hapa JF
 
Nipo mkuu, majukumu yamekuwa mengi, pia jukwaa letu lile la mambo ya ICT limedorora sana sijui watu wameichoka hiyo kazi au vipi?
Nice to see you man Josm! Nimefurahi saana!
Majukumu mema kaka
 
kuna members nilikuwa nawaona sana hapa na mada nzuri kabla sijawa member. Wako wapi siku hizi. Kwa wenye taarifa please

mfano
exaud makyao
kibunango
josm
sipo
faith
nyamayao
mtm

na wengine wengi. Nilipenda michango yao. Wako wapi?

wajameni,
mbona mimi hamniulizii?
Hakuna aliyenimiss?
Mbona nilidhani kuwa nami ni maarufu hapa?
Eh,
 
Omega Omega mbona wewe ni maarufu sana hapa, the issue ni kwamba huwezi kuwataja wote kwa pamoja. Karibu tena jamvini mwanawane:smile-big:
 
kukuna
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date Wed May 2010
Posts 15
Thanks : 0
Thanked 1 Time in 1 Pos
Mmh kweli wewe huwajui
hamna ata anewajua hao.
 
mie namtafuta Steve Dii
nani kanionea huyu mtu jamani!??
 
Back
Top Bottom