Kati ya watu waliokuwa wananivutia kuja hapa kijiweni mara kwa mara kusoma comments zao, huyu ni mmoja wapo.mwafrika wa kike je? kimyaa
Sio huyu shem, aliyefiwa na mamake ni tete-a-tete!jamani huyu si aliaga alipata msiba nadhani atakuwa bado huko
Ukiona watu wamepotea, kuna mengi yanawakuta hasa sisi binadamu, hivyo tusishangae achalia mbali wanaingia kwa mgongo wa nyuma, Leo Nyamayao kesho pr------,.
Preta = Nyamayao
help biggy................something is so very wrong here!!!!
Sipo alisombwa na mafuriko ya Kilosa
Kuna members nilikuwa nawaona sana hapa na mada nzuri kabla sijawa member. Wako wapi siku hizi. Kwa wenye taarifa please
Mfano
Exaud Makyao
Kibunango
Josm
Sipo
Faith
Nyamayao
MTM
Na wengine wengi. Nilipenda michango yao. Wako wapi?
u are absolutely rightBwabwa akigombezwa kidogo tu anapotea wiki saba.
ndege ya uchumi
Sipo
Carmel
wapi ninyi?
ndege ya uchumi
Sipo
Carmel
wapi ninyi?
Nice to see you man Josm! Nimefurahi saana!Nipo mkuu, majukumu yamekuwa mengi, pia jukwaa letu lile la mambo ya ICT limedorora sana sijui watu wameichoka hiyo kazi au vipi?
kuna members nilikuwa nawaona sana hapa na mada nzuri kabla sijawa member. Wako wapi siku hizi. Kwa wenye taarifa please
mfano
exaud makyao
kibunango
josm
sipo
faith
nyamayao
mtm
na wengine wengi. Nilipenda michango yao. Wako wapi?