Hiyo kidogo itakua kumu, labda wawasaidie vijana wa hapa jamvini kupata wenza na kuongeza utajiri kwa tiba zao za matunda na mbigamboga....Hivi hawa waganga hawezi kusaidia Stars huko Misri na tiba zao za matunda na mbogamboga?.
Hiyo ni ngumu zaidiHiyo kidogo itakua kumu, labda wawasaidie vijana wa hapa jamvini kupata wenza na kuongeza utajiri kwa tiba zao za matunda na mbigamboga....
Huwenda anakitumia kama sample ya kufanyia majaribio tiba zake.Ndondi anawapa tiba wenzake ya kuondokana na vitambii wakati yeye mwenyewe ana bonge la kitambi!
Ova
Hyo Avatar yako miyeyusho, haieleweki in nyanya, matako ya mwanamke au pumbu za mwanaumeWatu wameshtuka
Hawa waganga wa jadi walijitwalia umaarufu sana kwenye runinga zetu pendwa wakinadi dawa zao za kienyeji...wenyewe wakiziita tiba mbadala...hivi wamepotelea wapi?...ni kwamba biashara imeshawalipa vya kutosha sasa wanakula faida?
Ndondi anawapa tiba wenzake ya kuondokana na vitambii wakati yeye mwenyewe ana bonge la kitambi!
Ova
Wiki iliyopita nimekutana nae mitaa ya mbagala rangi3 aisee huyu jamaa ni mnene balaaNdondi anawapa tiba wenzake ya kuondokana na vitambii wakati yeye mwenyewe ana bonge la kitambi!
Ova
Wiki iliyopita nimekutana nae mitaa ya mbagala rangi3 aisee huyu jamaa ni mnene balaa