Ila sio kama zamani alipochungulia sana p.a.p.u.*.h* za -ke ilhali hawatibiwi kikweli...
Amerudi kwa puttin huko!Hivi na huyu mwingine Dk Shika nae sijui yuko wapi?
Bora umemweleza ukweli.Hyo Avatar yako miyeyusho, haieleweki in nyanya, matako ya mwanamke au pumbu za mwanaume
kwani kuna pumbu za mwanamke?Hyo Avatar yako miyeyusho, haieleweki in nyanya, matako ya mwanamke au pumbu za mwanaume
Wamesomea ujinga...Hivi wale jamaa walikua wamesomea mini?
Zpo za paka na bundikwani kuna pumbu za mwanamke?
Kaibuka tena kwa njia ya kisasa eti vidonge na nutrition supplement ...!!Hata Dr. Mwaka simsikii siku hizi
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji2958]Ndodi kafutuka mishavu hiyo,kitambi kama kipipa changu chakuhifadhia maji.Kipindi kile yy alikuwa anahubiri balance diet wakati yy mwenyewe haifuati,ila nchi hii waongo waongo wanatusua ,nasikia Kinyerezi Ndodi ana hekalu.
Hivi hawa waganga hawezi kusaidia Stars huko Misri na tiba zao za matunda na mbogamboga?.
Wagonjwa wamepona woteHawa waganga wa jadi walijitwalia umaarufu sana kwenye runinga zetu pendwa wakinadi dawa zao za kienyeji...wenyewe wakiziita tiba mbadala...hivi wamepotelea wapi?...ni kwamba biashara imeshawalipa vya kutosha sasa wanakula faida?