Wakizitumbua usiwalaumu ni kipaji

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
299,615
752,043
Nimeishi maisha mengi nimeona mengi nimefanya mengi nimekutana na mengi. ......kuna watu wanaitwa wafujaji siwazungumzii hawa....kuna wabinafsi Chao Chao chako pia chao...kuna wabahili wanacho kingi lakini kutumia kids go tu wanaugua kabisa...hawa pia sio
Halafu kuna hawa ndugu zangu na mimi yani kwao wakizipata na kuzitumia wanajisikia vizuri sana...wao hawana yule mupe yule muruke...ni kaliba fulani ya watu waliojaaliwa roho ya ukarimu wa ajabu kabisa...yani kwao wao kuwa na milioni kisha kuitumbua na kampani ni kama kumsukuma mlevi.
15258940_1988190638074514_4258019045267210240_n.jpg
..hujisikia vizuri sana na faraja kubwa moyoni wakiona zinateketea live...hiki ni kipaji usijaribu kukiiga utajikuta sero
Angalia kipaji chako ni kipi kisha kitendee haki ila kama chako ni kama hiki pole
 
Mbona kama ni bajeti yako ya wikiendi mkuu, nikiangalia vizuri naona pesa ya mzee wangu Magu, + pesa ya kwa brother Obama, + pesa ya mwekezaji wetu (china).
 
Sasa Mshana mimi nitakuwa na kipaji gani mana my weekend budget (Expenditures)>weekdays ambapo weekend ni only 2 days
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom