Wakina mama: Chungeni sana kauli zenu

Wakina mama: Chungeni sana kauli zenu

I'm a woman too sisi wanawake tumejaliwa huruma uvumilivu nk ila sometimes hugeuka na kuwa katili mpaka shetani anaomba poo mwenyewe
Paka ana roho nzuri sana. Ukimpigia mfano huo utakuwa hujatenda haki. Tuvumilieni na mtuhurumie,maana sisi ndo wake zenu,mama zenu na mabinti zenu,tafuteni njia nzuri ya kuamiliana na sisi.
 
hakuna kitu kinauama kama kutukanana na mwanamke,mimi nilishasema siwez kuweka battle ya maneno na mwanamke baada ya kuzalilishwa mbele za watu na mwanamke mmoja(though niliishia kumvimbisha domo ikawa kesi).naavoid sana hcho kitu,sometimes nikiona vita inataka kuanza nakaa kimya sijibu kitu.
Hapo tupo pamoja hawa watu muwe wote waqt wa furaha ila yakiharibika hawachelewi kuwa vinyonga.
 
Kunapokuwa na ugomvi ndani ndoa na hasira ikiwa imetawala pande zote naamini hakuna anaekuwa anamwambia mwenzake maneno ya kufurahisha Mume atatupa hili Mama naye atatafuta la kukupa ili mradi aone tu amekushinda..Na sisi wanaume huwa hatuna uvumilivu unakuta unaambiwa neno moja unasahau na wewe pia ulikuwa unamwambia maneno kama hayo tu...Mahali tunamalizwa nguvu kabisa ni pale wewe unajua mke wangu ni mwaminifu sana kwenye ndoa then kupitia ugomvi huo anaamua kukuambia...''Ndiyo maana niliamua kutembea nje ya ndoa kwa tabia hizi zako'' Kauli hii huingia moja kwa moja mpaka ndani ya moyo kabisa na kufanya mwili wote kupatwa na baridi ya ghafla...Kitakachofuata hapo mwanamke ni atimue mbio sana.
Sio mbio tuu na asahau kbsaaa performance za kibabe kW bed.....
 
Sikuungi mkono ktk hili, kumbuka kile mtu anachokutukania ndicho kilichokuwa moyo mwake hata kabla ya ugomvi, hasura tu ndio hukiamsha na kumpa ujasiri wa kukitamka kwa mwamvuli wa hasira, kwa mfano mwanamke akwambie, we nae ni mwanaume ktk wanaume?? Au hata watoto hawa si wako!!?

Kauli hizi huamsha hasira upya di tu kwa sababu zinakera bali zina ukweli kwani mtoa maneno huwa anahisia/ fikra hizo hata kabla ya ugomvi.
Ukitaka kushinda vita ya maneno na mwanamke hilo usahau ndugu yangu KikulachoChako hawa viumbe hujihisi kila mara wanaonewa sasa tahadhari ya kwanza ni kutoruhusu vita ya maneno.Sisemi tusijadiliane nao la hasha kuna mwisho wa mjadala kisha inaanza vita nae atajaribu kutumia silaha hiyo aone kama itakuumiza huenda mbali na kukwambia hata hawa watoto sio wako ilhali ni wa kwako ila anataka uumie si mpo vitani.
 
Aisee pole sana, sasa kwa style hii furaha ya ndoa iko wapi??
Mimi nadhani kuna watu tunajilazimishs kuishi ktk ndoa zisizotufaa.
Sijui kwanini nimefungua huu uzi aiseeee....
Nimejikuta nakumbuka neno ambalo nilikua nikilitumia sana (nahitaji private time).
Lakini chakushangaza ndipo ilikua kama nachochea kuni kwenye kijinga cha moto agghhhh...[emoji16]
Niliposema nitoke, basi nilifuatiwa na SMS, MMS za maneno na matusi kama mvua......
Mwisho nikaona nitafute pakua napata pumziko aiseeee.....
Ebu ngoja niishie hapa maana nahisi mapigo moyo kuanza kunienda kwa kasi
 
Hahahaaaaa umenifurahisha kweli
Kuna wakati mwengine hao wanaume nao ndio wanaanza wanakufanya uchefukwe na roho,mfano unaweza kukuta sms au mwanamke anakutumia sms kwenye cm yako na kukutukana au umefumani na sms ukimuliza anakwambia humfiki kwa lolote huyu mwanamke na wewe sinimekuo hiyo basi tuu,mwanamke utakua wewe? sasa hapo jamani mwanamke hakutolewa nyongo lazima akawambia na "na wewe sinakustahmilia tuu service mbovu hata huyo malkia anakulia pesa yako
lakini mbele huchezi nyuma hutisiki ebu nipishe mie kwenye wanaume nawewe unajiita mwanamme eeh? ebu nyamaza nikustiri babu weeeeeeeeeee.." lol
 
Sio sahihi kabisa kumkatili mwanamke kwa kumsababishia jeraha, ulemavu au kifo kwa maneno yatokayo kinywani, hakuna neno baya au bovu linaloweza kulingana na adhabu nilizotaja hapo juu. Mpaka huyo mwanaume aambiwe maneno ya kuudhi inajieleza wazi na yeye analolake alilomkeranalo mkewe ambalo ndilo chanzo cha tatizo. Kila binadamu bila kuangalia jinsia anamadhaifu yake kwa mwenzake, tuache mfumo dume.
 
KikulachoChako umeleta Uzi muhimu sana ila naomba nitoe maoni yangu. Linapokuja suala LA maneno kuumiza, hakuna jinsia japo tunatofautiana namna ya kuugulia. Pande zote mbili waume na wake tuwe makini sana na kaulizetu.

Unaweza kumwambia MTU neno Leo, akawa kila akilikumbuka unashangaa anakua Mkali wakati haujamkosea kwa wakati huo.

Huenda wake zetu wanatumia zaidi hii silaha ya maneno kwa sababu hawawezi kugawa kipigo kwa waume zao, ndio maana mwanaume atamrushia mkewe maneno na dozi juu, huu ni ukatili.

Unapoamua kuingia kwenye ndoa, kuvumiliana ni moja ya sifa muhimu unayotakiwa kuwa nayo au kujifunza.

Shukrani kwa kuleta huu mjadala.
 
Kuna jamaa yetu anatokea lile kabila la wababe,ambako wilaya tuu ni kanda maalum ya kipolisi, kwa sasa yuko jela

Alipewa kauli kama hzo, kilichofuata ni kumtenganisha yule mwanamke viungo vyote kwa panga, na aka jisalimisha polis mwenyew

Kwa kweli usipo kuwa mvumilivu unaweza kuta mnagawana majengo ya serikali, mmoja mochwari au hospital ,mmoja jela

Wanawake mbadilike kwa kweli na wanaume ukiambiwa kama hvo tuliza mzuka uskurupuke
Msemo wako umenikosha
 
Mini binafsi sijajaliwa kuvumilia mambo ya kijinga japo siwezi kugawana majengo ya serikali kwa sababu ya mke niliyemuoa mimi mwenyewe kwa hiari yangu tena nikimfukuzia kwa nguvu zote.
Huwa sina nafasi ya kumtukana mke niliyemuoa ninayelala naumye kila siku na kuamka naye, its simple huwezi unaanzaje kuishi na mtu ambaye ni keromo kwako?? Halafu tunajifariji humu eti ndoa inachangamoto ooh inahitaji uvumilivu and so on.
Kama kuna changamoto basi zitatuliwe sio kuvumilia maumivu kila siku kulialia.
KikulachoChako umeleta Uzi muhimu sana ila naomba nitoe maoni yangu. Linapokuja suala LA maneno kuumiza, hakuna jinsia japo tunatofautiana namna ya kuugulia. Pande zote mbili waume na wake tuwe makini sana na kaulizetu.

Unaweza kumwambia MTU neno Leo, akawa kila akilikumbuka unashangaa anakua Mkali wakati haujamkosea kwa wakati huo.

Huenda wake zetu wanatumia zaidi hii silaha ya maneno kwa sababu hawawezi kugawa kipigo kwa waume zao, ndio maana mwanaume atamrushia mkewe maneno na dozi juu, huu ni ukatili.

Unapoamua kuingia kwenye ndoa, kuvumiliana ni moja ya sifa muhimu unayotakiwa kuwa nayo au kujifunza.

Shukrani kwa kuleta huu mjadala.
 
Yaan kiukwel ukikutana na mwanamke mjuaji kwenye ndoa utataman hata ufe tu,
 
KikulachoChako umeleta Uzi muhimu sana ila naomba nitoe maoni yangu. Linapokuja suala LA maneno kuumiza, hakuna jinsia japo tunatofautiana namna ya kuugulia. Pande zote mbili waume na wake tuwe makini sana na kaulizetu.

Unaweza kumwambia MTU neno Leo, akawa kila akilikumbuka unashangaa anakua Mkali wakati haujamkosea kwa wakati huo.

Huenda wake zetu wanatumia zaidi hii silaha ya maneno kwa sababu hawawezi kugawa kipigo kwa waume zao, ndio maana mwanaume atamrushia mkewe maneno na dozi juu, huu ni ukatili.

Unapoamua kuingia kwenye ndoa, kuvumiliana ni moja ya sifa muhimu unayotakiwa kuwa nayo au kujifunza.

Shukrani kwa kuleta huu mjadala.

Shukrani sana ndugu Samaritan......nimesisitiza wanawake wachunge kauli zao kwa kuwa katika kesi nyingi za vita ya maneno wahanga ni wanawake na huwa wanakumbana na hasira kali kutoka kwa wanamume waliokwazwa na maneno hayo......ni vyema tujifunze kudhibiti hasira zetu....na wanawake wachunge kauli zao.....

Ingekuwa wahanga wa kauli ni wanaume basi ningesisitiza sana kuhusu wanamume......
 
Mini binafsi sijajaliwa kuvumilia mambo ya kijinga japo siwezi kugawana majengo ya serikali kwa sababu ya mke niliyemuoa mimi mwenyewe kwa hiari yangu tena nikimfukuzia kwa nguvu zote.
Huwa sina nafasi ya kumtukana mke niliyemuoa ninayelala naumye kila siku na kuamka naye, its simple huwezi unaanzaje kuishi na mtu ambaye ni keromo kwako?? Halafu tunajifariji humu eti ndoa inachangamoto ooh inahitaji uvumilivu and so on.
Kama kuna changamoto basi zitatuliwe sio kuvumilia maumivu kila siku kulialia.
You are very right broda,nikiskia wanandoa wametupiana maneno au na ngumi huwa najiuliza,hivi hawa walipendana kweli au walilazimishwa ndoa? Unafanya vizuri kutoyapa haya nafasi kwenye ndoa yako,uzidi kubarikiwa.
 
Sawa tutabadilika ila pia muwe mnaangalia mambo yakuwafanyia wanawake kunadharau za live mtu anaona ,kama mtu mnawatoto anaacha buku,anarudi saa sita usiku na hataki kuulizwa,anarudi kalewa anakuita mbwa staha itatoka wapi?unajua anaepiga asipo tia kile au kuua hajaumiza bado ila kila neno bovu litokalo mdomoni kwa mwanamke ni zaidi ya hayo yote maana lazima utafute kujichunguza.,tuache ugomvi tuzungumze kwa heshima
 
Katu katu asilani mwanamke hawezi kuropoka maneno ya kumdhalilisha mwanaume pasi na sababu. Na ikifika hapo ujue ameshavumilia mengi na yamemjaa kifuani mwisho wa siku anaamua kutapika...
 
Back
Top Bottom