Ndoa naigopa sana!

Ndoa naigopa sana!

Seleina Tikili

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,407
Reaction score
2,729
Kulingana na ukatil uliokidhir kwenye ndoa na mateso ndoa nazid kuiogopa. Wanandoa wanauana hovyo kisa wivu wa mapenzi.

Sasa hivi nimeamka jiran na mkewe walikuwa wanashikana mashati, kisa meseji ambayo mke ameikuta kwenye simu ya mumewe.

Imenbd nikawaamue wasije wakauana nikiwepo. Ila jaman haya maisha ya ndoa magumu, kila uchao sipati sifa njema ya ndoa ni baya tu ili jambo lazidi kunifanya niogope ndoa na kuamini kuwa ndoa ni utapeli.
 
Uzuri au ubaya wa ndoa unategemea wewe umeamua kuona nini. Ukiiset akili yako ione mabaya, utakuwa ukishuudia tu nyakati za ugomvi tu. Na vinginevyo.

Kwenye ndoa hakuna raha inayodumu pia vivyo hivyo kwenye karaha.

Sasa wewe akili yako umeiseti ione karaha tu.

Ili ndoa idumu mmoja wenu lazima awe bwege. Ila wote mkiwa much know au much au tofauti yake, ndo kukwidana kunapokuja.
 
Hakuna jambo lolote linalo kosa changamoto..kikubwa ni uvumilivu na kuwekeana mipaka...mfano mm mke wangu nilisha mwambia jeuri na kuchiti ni mambo ambayo yatampa tiketi aende kwao.
 
Kulingana na ukatil uliokidhir kwenye ndoa na mateso ndoa nazid kuiogopa.Wanandoa wanauana hovyo kisa wivu wa mapenz.

saiv nmeamka jiran na mkewe walikuwa wanashikana mashati.kisa mesej ambayo mke ameikuta kwenye simu ya mumewe.

imenbd nikaawamue wasj wakauana nkwepo.Ila jaman haya maisha ya ndoa magumu, kila uchao sipat sifa njema ya ndoa n baya tu ili jambo lazd kunifany niogope ndoa na kuamin kuwa ndoa n utapl.
Mema ya Ndoa yapo tena mengi tu.Hatuyasemi kwa sababu hatutaki kucheka msibani badala yake tunaona ni busara kuenjoy kimya kimya
 
Kulingana na ukatil uliokidhir kwenye ndoa na mateso ndoa nazid kuiogopa.Wanandoa wanauana hovyo kisa wivu wa mapenz.

saiv nmeamka jiran na mkewe walikuwa wanashikana mashati.kisa mesej ambayo mke ameikuta kwenye simu ya mumewe.

imenbd nikaawamue wasj wakauana nkwepo.Ila jaman haya maisha ya ndoa magumu, kila uchao sipat sifa njema ya ndoa n baya tu ili jambo lazd kunifany niogope ndoa na kuamin kuwa ndoa n utapl.
Mkuu kwa huu muandiko wako achana na swala la ndoa kwanza,kajifunze kwanza kuandika!
Alafu mambo ya kufatilia mambo ya watu mwanaume na mashaka na wewe..
 
Kijana usiende pamoja na mkumbo wa mtandaoni, utashindwa kufanya mambo yako ya msingi kwa watu wachache humu mtandaoni kuendesha kampeni ambazo kiuhalisia wao hawazifanyi, nimekuona mara nyingi ukishadadia kampeni ya CHAPUTA na sasa KATAA NDOA, utapotea mkuu, tunaandika mtandaoni lakini kwenye maisha halisi hatufanyi hivyo na tuna wake na watoto. kwa hiyo kijana angalia sana usije tukakufanya usioe ili hali sisi tunafurahia MWADUI kila siku.
 
Ndoa ni kwa wenye hekima na busara plus akili +

huwezi tamani ndoa kama unatumia akili mnemba
 
Kuogopa ndoa ni udhaifu mkubwa.Ninyi munaoogopa ndiyo mnaosababisha CCM iendelee kututeka na kutuua kama walivyomuua hamphrey polepole maana wtz ni waoga wa kupinga maovu.Kama unaogopa ndoa maana yake hata kupigania haki ni mwoga.
 
Kijana usiende pamoja na mkumbo wa mtandaoni, utashindwa kufanya mambo yako ya msingi kwa watu wachache humu mtandaoni kuendesha kampeni ambazo kiuhalisia wao hawazifanyi, nimekuona mara nyingi ukishadadia kampeni ya CHAPUTA na sasa KATAA NDOA, utapotea mkuu, tunaandika mtandaoni lakini kwenye maisha halisi hatufanyi hivyo na tuna wake na watoto. kwa hiyo kijana angalia sana usije tukakufanya usioe ili hali sisi tunafurahia MWADUI kila siku.
ila nyeto siachi nshaizoea hainipi hasara md wote nanyetuka nainaondoa msongo wa mawazo
 
Back
Top Bottom