Wakina baba/kaka

Wakina baba/kaka

Hahahahaa... Bwege hao..!! Mungu mwenyewe alisema mwanamme kichwa cha familia sasa inakuaje anashindwa kumcontrol mwanamke wake..!!! Wanaume acheni kutiana aibu katika jamii
hongera hayajakukuta mkuu
 
Kwa hiyo hao (that certain amount) who want ready-made men or contribute little in the family ndo inakufanya uamue kuwa the whole group wako hivo?!

its not a certain amount is alot of them trust me. stats zinaonyesha the number one cause of marital problems ni financial. a man's success is measured but the size of his wallet and am not one to blame women who seek such men because it is in us all as humans to desire the best in life and fortunately or unfortunately, depending on where u stand money goes a long way to offer such life amenities
 
its not a certain amount is alot of them trust me. stats zinaonyesha the number one cause of marital problems ni financial. a man's success is measured but the size of his wallet and am not one to blame women who seek such men because it is in us all as humans to desire the best in life and fortunately or unfortunately, depending on where u stand money goes a long way to offer such life amenities


This's true but, it shouldn't be a conclusion to, "Wanawake ni wa kugegedwa, na kulea familia"

If that was the case, we wouldn't be having women Presidents, women Lawyers, women DRs, women ministers, women Judges, women Pilots, women Psychologists, and the list can go on and on and on. Women would not be going to school, or get mployed, Period!

One issue, one problem in marital affairs shouldn't be a conclusion to, women's job is to stay at home and be baby maker machines. Not right.
 
This's true but, it shouldn't be a conclusion to, "Wanawake ni wa kugegedwa, na kulea familia"

If that was the case, we wouldn't be having women Presidents, women Lawyers, women DRs, women ministers, women Judges, women Pilots, women Psychologists, and the list can go on and on and on. Women would not be going to school, or employed, Period.

One issue, one problem in marital affairs shouldn't be a conclusion as to, women's job is to stay at home and be baby maker machines. Not right.

mhm are u a lawyer or something maana unapenda ku-debate.

anyways, never in my life have i seen a man go after a woman just becoz ni pilot, president au engineer. the number one thing anyman anamtogonza mwanamke na kuamua kuoa ni ili apate kugegeda kuzaa na waototo walelewe. so it is true then kuwa wanawake ni wa kugegedwa na kulea famili...mambo ya upilot extra tuu hizo bwana...wee na huo upilot wako kama hizo three foundamental things hutimizi basi to me sifa ya kuitwa mwanamke umekosa.

sasa wewe hiyo problem highlights the fundamental expectations za both sexes katika marriage. mwanamke atategemea kuhudumia without failure, thats a mans job. expectation ya mume kwa mke wake ni kupata papuchi agegede, apate watoto thats the job. these are inherent expectations. ni sawa na wewe mwanamke useme mwanaume ni wakuwachuna tuu....well i wouldnt have any problem with that since mie najua hiyo ndio my job.
 
Sasa mkuu hujatoa njia ya kuwanusuru na adha hiyo.
Njia ni nyinyi mkubali kuwa hili tatizo lipo na sheria ichukue mkondo, kuwe na dawati la wanaume wanaopigwa na wake zao.
 
Njia ni nyinyi mkubali kuwa hili tatizo lipo na sheria ichukue mkondo, kuwe na dawati la wanaume wanaopigwa na wake zao.
Hilo dawat me ntakuwa Mwenyekit ukimpiga Mmeo au kumdhalilisha kwanza uka kae 3 month jela ushike adabu na fine ulipe Mkoa wa Mara ushaskiaa Mme anapigwa hovyo?
 
Labda kama ni kimada,mke wako unashindwa hata kumvizia amelala
ukamfunga kitandani ukamtandika walau fimbo tano,akilipa kisasi next time ukimfunga humfungui
unamwagiza msichana wa kazi amfungue baada ya wewe kwenda kazini.

Wanakataga kamba kama Samsoni wa Delila mkuu.... afu subiri hiyo ngoma ya mmakonde mzee inaitwa Mdundikoooo😱
 
Mwanaume mpaka ukapigwe na mkeo pasipo sababu ya maana, ni kwamba something is wrong with you upstairs. You're not a man enough.
Na hata kama kuna sababu, you don't let her get that far with you.

Nafikiria kuwa mwanaume kazi yake kubwa ni ku protect mkewe, na familia yake kwa ujumla. Sasa kupigwa na mkeo uanaume wako uko wapi?

Halafu na sisi, unaanza vipi kumpiga mwanaume wako?
And after you hit him, you'd still want him to lay you?...bizarre!
One friend of mine was an athletic and married a teacher, she enjoyed beating him up in public, when he is late at home she will go to the local bar and when she finds him she will give him good two slaps and tell him openly I'm waiting for you at home and then she leaves. You can imagine the embarrassment of a man there, every one there knows he is going home to have the rest of it.
 
One friend of mine was an athletic and married a teacher, she enjoyed beating him up in public, when he is late at home she will go to the local bar and when she finds him she will give him good two slaps and tell him openly I'm waiting for you at home and then she leaves. You can imagine the embarrassment of a man there, every one there knows he is going home to have the rest of it.
Haha
 
mhm are u a lawyer or something maana unapenda ku-debate.

anyways, never in my life have i seen a man go after a woman just becoz ni pilot, president au engineer. the number one thing anyman anamtogonza mwanamke na kuamua kuoa ni ili apate kugegeda kuzaa na waototo walelewe. so it is true then kuwa wanawake ni wa kugegedwa na kulea famili...mambo ya upilot extra tuu hizo bwana...wee na huo upilot wako kama hizo three foundamental things hutimizi basi to me sifa ya kuitwa mwanamke umekosa.

sasa wewe hiyo problem highlights the fundamental expectations za both sexes katika marriage. mwanamke atategemea kuhudumia without failure, thats a mans job. expectation ya mume kwa mke wake ni kupata papuchi agegede, apate watoto thats the job. these are inherent expectations. ni sawa na wewe mwanamke useme mwanaume ni wakuwachuna tuu....well i wouldnt have any problem with that since mie najua hiyo ndio my job.


First of, you're one of the very few men out there, in our time with that kind of thinking kwamba mwanamke kazi yake kubwa ni kukaa nyumbani. Lazima baadhi ya wakina dada watakupenda sana.

Second of, hiyo ilikuwa zaidi zamani. That's what our grandparents and parents did for most part. Waliweka wake zao nyumbani na wao wakaenda kazi. Lakini kwa siku hizi, hata wanaume nao wanaangalia mwanamke anafanya kazi wapi, na anawezekana kuwa anapata kiasi gani. If not that, ametoka kwenye familia yenye uwezo kiasi gani.

Sijapinga your beliefs za kutaka mwanamke awe wa nyumbani tu, if that's what you wish for your woman,...all my blessings.
Ninachopinga ni kujumlisha wanawake wote kuwa wako hivyo au wawe hivyo, wategemezi kwa waume zao kiuchumi. That's what keep us down, and have been keeping a lot of women down. Dependence.
 
One friend of mine was an athletic and married a teacher, she enjoyed beating him up in public, when he is late at home she will go to the local bar and when she finds him she will give him good two slaps and tell him openly I'm waiting for you at home and then she leaves. You can imagine the embarrassment of a man there, every one there knows he is going home to have the rest of it.


Yaani mtu sijui anaanza vipi kumpiga mwanaume wake kwa kweli. Sasa sijui nani anakuwa mwanaume ndani.
I want my man to protect me and take good care of me, ukianza kumpiga na yeye asitie neno self confidence inayeyuka, anabaki mwanaume jina.
Mwanaume confidence bwana.
 
Hehehe!! Hilo lipo, wanaume wanapokea kichapo haswa walevi walevi. Mkoa fulani kwetu Kenya yaani kichapo kutoka kwa mwanamke sio habari tena. Wanakipata pata.

Lakini vurugu ndani ya ndoa hazifai, iwe kwa mwanaume au mwanamke, mbona inawezekana mkaishi miaka mingi bila kupigana hata siku moja. Cha msingi wewe mwanaume kuwa na control.

Mimi niliapa maisha yangu yote sitowahi mpiga mwanamke yeyote hata akinifika kooni. Yaliyomkuta marehemu mamangu yalikua yananikera kishenzi, wakati nikiwa mdogo kwa umri alikua anapokea kipigo kutoka kwa mzee kila wakati. Nilichukizwa sana kiasi kwamba imenichukua muda mrefu sana kumsamehe marehemu babangu.

Chuki nilizokua nazo kwa mzee zilinifanya nikawa mgomvi sana kwenye maisha. Nikawa napigana na wanaume kila nikilewa, nilikua najifunza Tae-kwondo na boxing. Kabla hajafa marehemu babangu, nilitamani nipate fursa ya mechi na yeye.

Kwa kifupi, wanaume tujizuie kabisa. Mwanamke hata akiropokwa matusi kama kasuku, tafuta njia zingine mbadala lakini usihusishe vita, haswa kama una watoto....
 
Hehehe!! Hilo lipo, wanaume wanapokea kichapo haswa walevi walevi. Mkoa fulani kwetu Kenya yaani kichapo kutoka kwa mwanamke sio habari tena. Wanakipata pata.

Lakini vurugu ndani ya ndoa hazifai, iwe kwa mwanaume au mwanamke, mbona inawezekana mkaishi miaka mingi bila kupigana hata siku moja. Cha msingi wewe mwanaume kuwa na control.

Mimi niliapa maisha yangu yote sitowahi mpiga mwanamke yeyote hata akinifika kooni. Yaliyomkuta marehemu mamangu yalikua yananikera kishenzi, wakati nikiwa mdogo kwa umri alikua anapokea kipigo kutoka kwa mzee kila wakati. Nilichukizwa sana kiasi kwamba imenichukua muda mrefu sana kumsamehe marehemu babangu.

Chuki nilizokua nazo kwa mzee zilinifanya nikawa mgomvi sana kwenye maisha. Nikawa napigana na wanaume kila nikilewa, nilikua najifunza Tae-kwondo na boxing. Kabla hajafa marehemu babangu, nilitamani nipate fursa ya mechi na yeye.

Kwa kifupi, wanaume tujizuie kabisa. Mwanamke hata akiropokwa matusi kama kasuku, tafuta njia zingine mbadala lakini usihusishe vita, haswa kama una watoto....


Umenichekesha lakini hapo pa kupata fursa ya mechi na mdingi! 🙂

Kusema ukweli pande zote mbili hazifai kujhusisha na magonvi, si kwa mme au mke.
Inaleta chuki zisizo msingi kwa watoto, na pia inawa athiri baadae kisaikolojia.
 
The issue is this is a silent problem which affect some men and because of that masculine image of a man they can not open it up and there are men out there who have been psychologically affected by this type of domestic violence. How can they be given a confidence of speaking out?
 
Yaani mtu sijui anaanza vipi kumpiga mwanaume wake kwa kweli. Sasa sijui nani anakuwa mwanaume ndani.
I want my man to protect me and take good care of me, ukianza kumpiga na yeye asitie neno self confidence inayeyuka, anabaki mwanaume jina.
Mwanaume confidence bwana.
Hehehe!! Hilo lipo, wanaume wanapokea kichapo haswa walevi walevi. Mkoa fulani kwetu Kenya yaani kichapo kutoka kwa mwanamke sio habari tena. Wanakipata pata.

Lakini vurugu ndani ya ndoa hazifai, iwe kwa mwanaume au mwanamke, mbona inawezekana mkaishi miaka mingi bila kupigana hata siku moja. Cha msingi wewe mwanaume kuwa na control.

Mimi niliapa maisha yangu yote sitowahi mpiga mwanamke yeyote hata akinifika kooni. Yaliyomkuta marehemu mamangu yalikua yananikera kishenzi, wakati nikiwa mdogo kwa umri alikua anapokea kipigo kutoka kwa mzee kila wakati. Nilichukizwa sana kiasi kwamba imenichukua muda mrefu sana kumsamehe marehemu babangu.

Chuki nilizokua nazo kwa mzee zilinifanya nikawa mgomvi sana kwenye maisha. Nikawa napigana na wanaume kila nikilewa, nilikua najifunza Tae-kwondo na boxing. Kabla hajafa marehemu babangu, nilitamani nipate fursa ya mechi na yeye.

Kwa kifupi, wanaume tujizuie kabisa. Mwanamke hata akiropokwa matusi kama kasuku, tafuta njia zingine mbadala lakini usihusishe vita, haswa kama una watoto....
Hehehe!! Hilo lipo, wanaume wanapokea kichapo haswa walevi walevi. Mkoa fulani kwetu Kenya yaani kichapo kutoka kwa mwanamke sio habari tena. Wanakipata pata.

Lakini vurugu ndani ya ndoa hazifai, iwe kwa mwanaume au mwanamke, mbona inawezekana mkaishi miaka mingi bila kupigana hata siku moja. Cha msingi wewe mwanaume kuwa na control.

Mimi niliapa maisha yangu yote sitowahi mpiga mwanamke yeyote hata akinifika kooni. Yaliyomkuta marehemu mamangu yalikua yananikera kishenzi, wakati nikiwa mdogo kwa umri alikua anapokea kipigo kutoka kwa mzee kila wakati. Nilichukizwa sana kiasi kwamba imenichukua muda mrefu sana kumsamehe marehemu babangu.

Chuki nilizokua nazo kwa mzee zilinifanya nikawa mgomvi sana kwenye maisha. Nikawa napigana na wanaume kila nikilewa, nilikua najifunza Tae-kwondo na boxing. Kabla hajafa marehemu babangu, nilitamani nipate fursa ya mechi na yeye.

Kwa kifupi, wanaume tujizuie kabisa. Mwanamke hata akiropokwa matusi kama kasuku, tafuta njia zingine mbadala lakini usihusishe vita, haswa kama una watoto....
Hehehe!! Hilo lipo, wanaume wanapokea kichapo haswa walevi walevi. Mkoa fulani kwetu Kenya yaani kichapo kutoka kwa mwanamke sio habari tena. Wanakipata pata.

Lakini vurugu ndani ya ndoa hazifai, iwe kwa mwanaume au mwanamke, mbona inawezekana mkaishi miaka mingi bila kupigana hata siku moja. Cha msingi wewe mwanaume kuwa na control.

Mimi niliapa maisha yangu yote sitowahi mpiga mwanamke yeyote hata akinifika kooni. Yaliyomkuta marehemu mamangu yalikua yananikera kishenzi, wakati nikiwa mdogo kwa umri alikua anapokea kipigo kutoka kwa mzee kila wakati. Nilichukizwa sana kiasi kwamba imenichukua muda mrefu sana kumsamehe marehemu babangu.

Chuki nilizokua nazo kwa mzee zilinifanya nikawa mgomvi sana kwenye maisha. Nikawa napigana na wanaume kila nikilewa, nilikua najifunza Tae-kwondo na boxing. Kabla hajafa marehemu babangu, nilitamani nipate fursa ya mechi na yeye.

Kwa kifupi, wanaume tujizuie kabisa. Mwanamke hata akiropokwa matusi kama kasuku, tafuta njia zingine mbadala lakini usihusishe vita, haswa kama una watoto....

In a case of an athletic woman, the children were watching and it used to hurt them so much to see their father being beaten up by their mother. What happened is the children as well had their mothers athletic genes, and as they were growing up the mother now was ageing and they used to beat her up. There was no law and order in the house.
 
First of, you're one of the very few men out there, in our time with that kind of thinking kwamba mwanamke kazi yake kubwa ni kukaa nyumbani. Lazima baadhi ya wakina dada watakupenda sana.

Second of, hiyo ilikuwa zaidi zamani. That's what our grandparents and parents did for most part. Waliweka wake zao nyumbani na wao wakaenda kazi. Lakini kwa siku hizi, hata wanaume nao wanaangalia mwanamke anafanya kazi wapi, na anawezekana kuwa anapata kiasi gani. If not that, ametoka kwenye familia yenye uwezo kiasi gani.

Sijapinga your beliefs za kutaka mwanamke awe wa nyumbani tu, if that's what you wish for your woman,...all my blessings.
Ninachopinga ni kujumlisha wanawake wote kuwa wako hivyo au wawe hivyo, wategemezi kwa waume zao kiuchumi. That's what keep us down, and have been keeping a lot of women down. Dependence.
Big changes came after the WW I and II, alot of men died during the war and left wives and children at home. While men were at the front line, women had to be trained for jobs such as bus/train drivers, factory jobs, health care, hospitality and so on, life had to keep moving and so as economic. That theme of a man is a bread winner is a thing of medieval era. But the constitution of marriage was created for two grown up adult to live together, support each other, have children and to teach those children how to interact and engage with the world. So having a wife or a husband beater is not acceptable at all.
 
  • Thanks
Reactions: kui
First of, you're one of the very few men out there, in our time with that kind of thinking kwamba mwanamke kazi yake kubwa ni kukaa nyumbani. Lazima baadhi ya wakina dada watakupenda sana.

Second of, hiyo ilikuwa zaidi zamani. That's what our grandparents and parents did for most part. Waliweka wake zao nyumbani na wao wakaenda kazi. Lakini kwa siku hizi, hata wanaume nao wanaangalia mwanamke anafanya kazi wapi, na anawezekana kuwa anapata kiasi gani. If not that, ametoka kwenye familia yenye uwezo kiasi gani.

Sijapinga your beliefs za kutaka mwanamke awe wa nyumbani tu, if that's what you wish for your woman,...all my blessings.
Ninachopinga ni kujumlisha wanawake wote kuwa wako hivyo au wawe hivyo, wategemezi kwa waume zao kiuchumi. That's what keep us down, and have been keeping a lot of women down. Dependence.

1) i will take ur comment as a compliment and let it be know to you, that am not one who is afraid to go against the grain. the popularity of a certain practice does not necessarily make it right. e.g siku hzi kugegedana kabla ya ndoa ni thinking ya kisasa but it certainly isnt right. so where as my thinking myt not fit "our time" it is certainly without a shadow of a doubt right.

2) unasema hiyo ilikuwa zaidi zamani, this somehow links with the first point concerning "our time" and "their time" ndio wanaume wanaangalia mwanamke anafanya kazi gani and all that becoz tayari wanaume wa "our time" have the mentality that women should do these "extra" jobs which to me is just secondary duties. primary duty yake mwanamke ndio kama hivyo "kugegedwa, kuzaa kulea". to add to that, pamoja na kwamba wanaangalia mwanamke anafanya kazi gani it still does not extricate a man from his duties ya kuprovide katika familia, his primary duty. ask those with experience and they will testify that to marry a working woman and expect that it will go 50/50 is to live in denial. wewe mwanaume unaweka mafuta kwenye gari la mkeo, utatibia wazazi wake, utalipa school fees, utajenga wewe etc.

3) please do understand ninaposema mwanamke yeye ni "kugegedwa, kuzaa na kulea" dnt mean kwamba ni lazima ake nyumbani tuu. hizo zilizotajwa hapo juu ndio primary duties zake. kuwa pilot, engineer ni extras which have no relevance if one can not perform the fundamentals mentioned above. so kui by all means nenda kuwa marketer or rocket scientist but dnt forget the fundamentals.
usijidanganye kuwa eti wanawake hawata depend kwa wanaume financially, thats just a fallacy that "haki sawa kwa wote" preaches but only exist as a defacto. mwanamke alie olewa ata depend kwa mwanaume finacially even if she is a working class woman. that is how it is.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom