Wakina baba/kaka

Wakina baba/kaka

Siku hizi si ajabu kumkuta mwanaume anapigwa na mke wake/mpenzi wake, kaka zangu mkipigwa na wake zenu/wapenzi wenu mnauwezo wa kuyahadithia nje? Hii ni janga lililoibuka na wanaume wengi wanaumizwa ndani ya nyumba lakini hawana uwezo wa kuyasema nje.
Kumbe ndo maana siku hizi kuolewa ni majaaliwa,
wanaume wanaogopa kupigwa?
asante kwa kunifahamisha nilikuwa sipati majibu.
wateja wa madada poa wanaongezeka wakati wadada wazuri wapo.
kumbe leo nimejua sababu.
 
Kumbe ndo maana siku hizi kuolewa ni majaaliwa,
wanaume wanaogopa kupigwa?
asante kwa kunifahamisha nilikuwa sipati majibu.
wateja wa madada poa wanaongezeka wakati wadada wazuri wapo.
kumbe leo nimejua sababu.
Usione watu wamenga tai asubuhi wanawahi kazini, kuna wengine wametoka kula makofi fresh mapema asubuhi.
 
Hahahaaa zamu Yenu..tumechoka kupigwa sasa hivi Ni mwendo karet Tu hadi mnyooke naona nafasi ya uanaume imewashinda hahaahaaa
 
Kwakweli wanaume fungukeni na hili swala liwekwe wazi, hapa si mna ID fake, hamtakula makofi nyumbani.
 
Unaitwa mwanaume halafu unapigwa na mkeo
 
Hahahaaa zamu Yenu..tumechoka kupigwa sasa hivi Ni mwendo karet Tu hadi mnyooke naona nafasi ya uanaume imewashinda hahaahaaa
Ukimaliza tunakukuta jf unalalama kwamba Mr. siku hizi hasimamishi.
 
Labda kama ni kimada,mke wako unashindwa hata kumvizia amelala
ukamfunga kitandani ukamtandika walau fimbo tano,akilipa kisasi next time ukimfunga humfungui
unamwagiza msichana wa kazi amfungue baada ya wewe kwenda kazini.
Mpaka hapo ni kuwa unamwogopa. Kabiliana nae akiwa mzima na fahamu zake, hama nyumba unamwambia si rudi mpaka uache kunipiga.
 
Hakuna haja ya kuhadithia nje mambo ya ndani huishia ndani
 
Usione watu wamenga tai asubuhi wanawahi kazini, kuna wengine wametoka kula makofi fresh mapema asubuhi.
Uzi wako huu unazidi kuwatisha mamachela.
Mimi naamini mwanaume anazaliwa akiwa amemaliza form six.
hata kama atapigwa ngumi ana uwanja mwingine wa kutoa adhabu.
 
Hakuna haja ya kuhadithia nje mambo ya ndani huishia ndani
Kwahiyo unakufa na tai shingoni, ndio nyinyi mkipigiwa simu na wife kabla hujapokea mikono inatetemeka, tunafikiri ni limbwata kumbe ni vibao na makonde nyumbani.
 
Mpaka hapo ni kuwa unamwogopa. Kabiliana nae akiwa mzima na fahamu zake, hama nyumba unamwambia si rudi mpaka uache kunipiga.
Sasa unadhani simba angekabiliana na nyati kizembe angekula nyama?
zama za kupigana vita ya kutembea kwa miguu zimepitwa na wakati
hizi ni zama za sayansi na teke linalokujia.
 
Sasa unadhani simba angekabiliana na nyati kizembe angekula nyama?
zama za kupigana vita ya kutembea kwa miguu zimepitwa na wakati
hizi ni zama za sayansi na teke linalokujia.
Walahi kama wewe ni mume wangu umenifanyia hivyo sitalala usingizi wa kutulia.
 
Hata kama ana nguvu kama nini unatumia akili ya kuzaliwa
mpaka anaingia line mnakaa meza ya mazungumzo
na kutunga sheria mpya inayomtambua mwanaume kama kichwa cha nyumba.

Na hili somo si wengi wanajua kwamba ukizoea kupiga kichwa,
kama huta kufa basi utapata uendawazimu.Hivyo mke anayempiga mme wake
kama hataiua familia yake basi ataifanya iwe kama kichwa cha mwendawazimu.
 
Hahahahaa... Bwege hao..!! Mungu mwenyewe alisema mwanamme kichwa cha familia sasa inakuaje anashindwa kumcontrol mwanamke wake..!!! Wanaume acheni kutiana aibu katika jamii

Jaluo hujakutwa mzee! Wanapiga hao,usiombe ukutwe buchani mzee.....
 
Wanaume wakishapigwa na wake zao inawaaumiza psychologically pia na hawawezi kwenda kwenye desk la jinsia kituo cha polisi. Jamani waziri wa sheri na katiba aliangalie hili.
 
Walahi kama wewe ni mume wangu umenifanyia hivyo sitalala usingizi wa kutulia.
Ndo maana nikasema mimi ni mwanaume,vita ya mabavu
naihamishia akilini nahakikisha wewe mwenyewe unanitafuta,tukae meza moja
tuyamalize.Kazi yote ya nini.Mahali nitoe mimi,kukuridhisha niwajibike mimi
akija mwizi niwe mtu wa kwanza kutoka alafu unidunde?
Da! sipati hata picha.
 
Kwahiyo unakufa na tai shingoni, ndio nyinyi mkipigiwa simu na wife kabla hujapokea mikono inatetemeka, tunafikiri ni limbwata kumbe ni vibao na makonde nyumbani.
Hahahahaaaaa mimi wife wangu hana uwezo wa kunipiga na cjawah kumpiga
 
Back
Top Bottom