Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 709
- 2,858
Wakili wa Sabaya amesema kitendo cha mteja wake kutolewa kwenye gereza la Kisongo Arusha na kupelekwa kwenye gereza la Moshi ni ubatili mtupu kwani taratibu na sheria za nchi haziruhusu hali hiyo.
Wakili msomi amesema Sabaya amesafirishwa bila remove order wala mawakili wake kujulishwa, kitendo ambacho kinaliweka hatarini gereza la Kisongo iwapo Sabaya atatokewa na kitu chochote kibaya huko Moshi.
Wakili msomi amesema Sabaya amesafirishwa bila remove order wala mawakili wake kujulishwa, kitendo ambacho kinaliweka hatarini gereza la Kisongo iwapo Sabaya atatokewa na kitu chochote kibaya huko Moshi.