Haha.Achaneni na hao wanasheria wanaoamini kushinda kesi lazima uwe karibu na dola. Niliwaambia Lema very soon atakuwa zigo la ccm pa kulitua hakuna. LEMA SASA HATAKI WANASHERIA WAHANAGAIKE ILA WASUBIRI KTK KESI TUU. Sasa anataka watanzania waone jinsi watuhumiwa wengine wa hali ya chini wanafanyiwa nini km Yeye anafanyiwa haya.*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*
Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.
Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.
System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.
Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.
Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?
Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.
My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Kwa maana hiyo Lema hana haki ya dhamana kisheria?naomba unifafanuie kidogo na mimi niweze kumuelewa.Nimemwelewa sana Msando, umeongea ukweli kuwa kwenye sheria hakuna ushabiki kama wa Yanga Na simba.
Na Lema aangalie aina ya siasa zake, kwa nini yeye tu akae ndani Na sio wenzie.!
Illa ukiwa Rais unaweza kuvunja sheria?Tafsiri ya ukamanda inapotoshwa na Chadema, ukamanda sio kuvunja sheria na kutoa lugha za matusi.
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*
Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.
Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.
System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.
Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.
Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?
Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.
My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*
Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.
Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.
System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.
Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.
Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?
Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.
My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Siyo hivyo tuu uchaguzi ulio pita alitaka kugombania ubunge jimbo la Arusha Mjini. Sishangai huu mchango wake hapa.Albert Msando si mmojawapo wa wasaliti?
Kwakua hatujafunzwa kutofautiana kiustaarabu na kukubaliana kutokubaliana. Hii ni shida ya sisi wengi nchini kwetu kuanzia upinzani mpaka kwa wenye kutuongoza...HIVI KWANINI UKITOA MAWAZO TOFAUTI NA VIONGOZI WAKO UNAITWA MSALITI?
Mkuu kuna conditions na exceptions. Wanasheria wanasema every general rule has exceptions. General rule ni kwamba dhamana ni haki ya mshitakiwa lakini kuna kesi ambazo mshitakiwa anweza kunyimwa dhamana kwa mujibu wa sheria. Hakimu pia amepewa madaraka ya kuangalia kazingira kabla ya kutoa dhamana. Kuna mazingira kama ya hali ya mtu kuwa na kesi akapewa dhamana, akiwa nje akatenda kosa sawa na lile ambalo amepewa dhamana kwalo. Hapo hakimu ana mamlaka ya kumpa ama kutompa dhamana. Hakimu pia ana mamlaka ya kutompa mshitakiwa dhamana kama kwa kupewa dhamana kunaweza kuhatarisha maisha yake uraiani. Hapo ni mawakili kuonyeshana ubabe wa hoja ili ionekane kama mshitakiwa apewe dhamana ama asipewe.Hakuna busara kwenye vitu ambavyo sheria imevitaja direct dhaman ni haki ya mtu kikatiba wala hakutaki busara apo kosa la lema lipo bailable kisheria sasa apo busara ya nn
Iyo kesi ya Lema haipo kwenye izo exception za kunyimwa dhamana soma criminal procedure Act kifungu cha 148 (5)Mkuu kuna conditions na exceptions. Wanasheria wanasema every general rule has exceptions. General rule ni kwamba dhamana ni haki ya mshitakiwa lakini kuna kesi ambazo mshitakiwa anweza kunyimwa dhamana kwa mujibu wa sheria. Hakimu pia amepewa madaraka ya kuangalia kazingira kabla ya kutoa dhamana. Kuna mazingira kama ya hali ya mtu kuwa na kesi akapewa dhamana, akiwa nje akatenda kosa sawa na lile ambalo amepewa dhamana kwalo. Hapo hakimu ana mamlaka ya kumpa ama kutompa dhamana. Hakimu pia ana mamlaka ya kutompa mshitakiwa dhamana kama kwa kupewa dhamana kunaweza kuhatarisha maisha yake uraiani. Hapo ni mawakili kuonyeshana ubabe wa hoja ili ionekane kama mshitakiwa apewe dhamana ama asipewe.
Tafsiri ya ukamanda inapotoshwa na Chadema, ukamanda sio kuvunja sheria na kutoa lugha za matusi.
Majaji wanaenda likizo.Kesi kuahirishwa miezi 2, au ndo uhaba wenyewe wa mahakimu na majaji? Toka Dec 2 hadi Feb 2.
Makamanda siku zote wanakuwa watiifu na wenye nidhamu ya hali ya juu. Sasa nashangaa hawa Makamanda wa CHADEMA sijui wa aina gani. Au ni makamanda wa aina ya Al Shabaab na ISIS