Wakili Albert Msando: Issue ya Lema inahitaji Busara zaidi ya Ubishi na Ujuaji

*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Kuna kipindi Mbunge muheshimiwa Esther Bulaya alipomshinda katika Rufaa bwana Tyson nilisema walipoisifu mahakama imetenda haki kwao ikija ya Mbunge muheshimiwa Godbless Lema au kesi yoyote ya mahakamni wasijekusema mahakama hazitendi haki,je mko wapi?mahakama inatenda haki kwenu tu watu wenu wakishinda kesi,mkibanwa mnaonewa!
 
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.

Mkuu, tatizo kubwa la wafuasi wa Lema wanadhani kuwa kila kitu kinashughulikiwa kisiasa. Wengi wao naona elimu ya kisheria hawaijui na hawakotayari kutaka kuijua. Mimi nimesashuhudia kwa kufanya ushauri kwao na ni wazi mambo ya kisheria hawayajui na hasa mashabiki wao. Ukiondoa watu kama Lissu na Safari, waliobaki huwa hawajui. Hivyo, suala la Lema lipo kisheria zaidi kuliko kisiasa.
 
Nimemwelewa sana Msando, umeongea ukweli kuwa kwenye sheria hakuna ushabiki kama wa Yanga Na simba.

Na Lema aangalie aina ya siasa zake, kwa nini yeye tu akae ndani Na sio wenzie.!
 
Ninyi si mnajiita Makamanda? muokoeni sasa Lema...!

Ni Ukweli kwamba Mawakili wa Lema walifanya makosa lakini hawakukusudia kuyafanya, ni technicalities za kisheria tu hizo ila wao tatizo lao waliwadharau Mawakili wa Serikali kuwa siyo Smart so hawatagundua kasoro hizo, hivo wakawakuta nao wapo smart sana.

Sasa Lema, Mwanzoni alitenda kosa akapewa Dhamana, lakini ile dhamana ilikuwa na masharti kadhaa ambayo Alitakiwa ayafuate, siku chache baadae akatenda tena kosa kwamba, Eti kaoteshwa Rais Magufuli atafariki dunia asipojirekebisha ....hili ni kosa kubwa sana kiusalama, hasa wa Rais, kwenye mambo ya usalama wa Rais ni priority namba one, kila mtu akitaka awe anatangaza kila Ndoto anayoota tutafika? kwani kulikuwa na umuhimu wowote kutangaza hadharani hiyo Ndoto? Je kama mmepanga mipango ya kumdhuru Rais sasa LEMA ndo katumwa atangaze kuwa Rais Atakufa ili ikitokea wananchi wasishtuke saaana????

Hivyo, Dhamana ya Lema imecheleweshwa na Mawakili wake na si kwamba kuna mkono wa mtu kama ambavyo Imeanza kuenezwa na wazushi...

Sasa Mawakili wanayo option ya Kukata rufaa mahakama ya Rufaa au waombe revisions tu.


Otherwise, akae tu KISONGO hadi JUNE 2017, nadhani atakuwa amenyooka sana.

Afu niwaombe Magereza Kisongo, LEMA asikae tu ndani, apewe shoka au jembe aende shambani kulima au akate kuni, au apewe UNYAMPARA.
 
Swala la Lema ni la kisiasa zaidi, hisia za wanaoongoza wenye mamlaka wamelalia kwenye kukomoa zaidi lkn jambo hili litamuongezea lema umaarufu tu
 
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Hii iwafikie mashabiki UCHWARA wote wa MH. Lema!
 
Hakuna busara kwenye vitu ambavyo sheria imevitaja direct dhaman ni haki ya mtu kikatiba wala hakutaki busara apo kosa la lema lipo bailable kisheria sasa apo busara ya nn
Dhamana ni haki yenye masharti na vigezo vigumu.
Hata kama ni wazi kuwa huna hatia, na kuwa mashtaka dhidi yako ni ya kuchonga, bado unaweza kunyimwa dhamana kwa sababu za usalama wako mwenyewe au ule wa umma.

Kwenye ishu ya Lema ninaona tatizo kubwa linaloripotiwa kila siku na vyombo vya habari ni kuwa, wanasheria wa Lema wamekosea vifungu na taratibu. Hatujawahi kusikia wakikanusha japo ni wana jukwaa mahiri.

Na kila wakipata ushindi vitimbi vyao huonekana na kusikika.
 
Tuache kumpa kichwa Lema hata kwenye facts. Lema ni mpambanaji kisawasawa lakini anajisahau sana na wakati mwingine hachungi kauli zake ambazo pengine zingetolewa na mwingine yeye akiwa madarakani angechukua hatua hizi hizi. Tufanye siasa na kudai haki bila kukwazana kwa matusi na lugha za hatari tena ukiwa kiongozi.
 
Kuna kipindi Mbunge muheshimiwa Esther Bulaya alipomshinda katika Rufaa bwana Tyson nilisema walipoisifu mahakama imetenda haki kwao ikija ya Mbunge muheshimiwa Godbless Lema au kesi yoyote ya mahakamni wasijekusema mahakama hazitendi haki,je mko wapi?mahakama inatenda haki kwenu tu watu wenu wakishinda kesi,mkibanwa mnaonewa!

Nani anasifia mahakama zinazofanya kazi kwa maagizo toka juu? Ukiona mahakama imetenda haki kwa mpinzani basi ujue hakukuwa na jinsi nyingine ama shinikizo toka juu ni dogo.
 
ifike mahari tuitii mamlaka na sio kuibeza, Lema anakesi ya kujibu, tatizo ni ujuaji wa mawakili wake
 
Ninyi si mnajiita Makamanda? muokoeni sasa Lema...!

Ni Ukweli kwamba Mawakili wa Lema walifanya makosa lakini hawakukusudia kuyafanya, ni technicalities za kisheria tu hizo ila wao tatizo lao waliwadharau Mawakili wa Serikali kuwa siyo Smart so hawatagundua kasoro hizo, hivo wakawakuta nao wapo smart sana.

Sasa Lema, Mwanzoni alitenda kosa akapewa Dhamana, lakini ile dhamana ilikuwa na masharti kadhaa ambayo Alitakiwa ayafuate, siku chache baadae akatenda tena kosa kwamba, Eti kaoteshwa Rais Magufuli atafariki dunia asipojirekebisha ....hili ni kosa kubwa sana kiusalama, hasa wa Rais, kwenye mambo ya usalama wa Rais ni priority namba one, kila mtu akitaka awe anatangaza kila Ndoto anayoota tutafika? kwani kulikuwa na umuhimu wowote kutangaza hadharani hiyo Ndoto? Je kama mmepanga mipango ya kumdhuru Rais sasa LEMA ndo katumwa atangaze kuwa Rais Atakufa ili ikitokea wananchi wasishtuke saaana????

Hivyo, Dhamana ya Lema imecheleweshwa na Mawakili wake na si kwamba kuna mkono wa mtu kama ambavyo Imeanza kuenezwa na wazushi...

Sasa Mawakili wanayo option ya Kukata rufaa mahakama ya Rufaa au waombe revisions tu.


Otherwise, akae tu KISONGO hadi JUNE 2017, nadhani atakuwa amenyooka sana.

Afu niwaombe Magereza Kisongo, LEMA asikae tu ndani, apewe shoka au jembe aende shambani kulima au akate kuni, au apewe UNYAMPARA.

Maelezo marefu ile mbaya lakini ni siasa tu unapiga hapa. Huna ujualo zaidi ya siasa. Kama sio visasi toka kwa mtu anayeongoza nchi kwa visasi, toka lini serekali ikafanyia kazi maneno ya Lema? Ni mara ngapi Lema tena ndani ya bunge kafikisha mambo yenye tija kwa taifa hatafanyiwi kazi, lakini kauli za majukwaani ndio mnajifanya mnazifanyia kazi. Tunajua mnatumia madaraka vibaya dhidi ya wapinzani na wala sio kutuambia upuuzi wenu sijui sheria ama nini.
 
Ndio maana nasema Lema this time akitoka atakuwa amenyoooka vizuri.Asifikiri kuvunja sheria ndio kutamletea umaarufu.Serikali hii haijaribiwi kabisaa
 
Back
Top Bottom