Wakili Albert Msando: Issue ya Lema inahitaji Busara zaidi ya Ubishi na Ujuaji

Sasa kama mbakasasa hujaelewa ufafanuzi uliotolewa na mleta mada itabidi aje DJ kukuelewesha.
 
Uko ndiko kunako mfaa lema,ona Arusha ilivyotulia watu wanachapakazi maisha ya naendelea.hakuna bifu Arusha kuko shwaaaari.
 
Ifike pahala watu wawe na nidhamu na mamlaka zilizowekwa ama zilizopo
Huwezi kulopoka tu kwa kisingizio cha ndoto
Unataka kuwaaminisha nini wtz juu ya ndoto zako?
Msimulie mkeo nani ana haja ya kusikia ndoto zako?
Ni vema mkachunga sana ndimi zenu ili mpate kunena yaliyo mema siku zote
Usijitafutie umaarufu kwa mizuka ya ndoto hapa sio mahala pake
Huyu jamaa amenikera sana

Hivi unapataje ujasili wa kuongea utumbo namna ile?
Kama babu wa loliondo alioteshwa na bado mkaamini ameoteshwa na "mugu wake" hata angelisema mnywe mkojo wake bado mngefanya hivyo tu, ilimradi hatukujua mnaumwa nini, na hatujui kama mlipona.?
1480779147072.jpg
 
  • Thanks
Reactions: BAK
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Labda tumuulize msando, anavyoona yeye anataka busara itoke wapi na itoke kivipi?
 
Ninyi si mnajiita Makamanda? muokoeni sasa Lema...!

Ni Ukweli kwamba Mawakili wa Lema walifanya makosa lakini hawakukusudia kuyafanya, ni technicalities za kisheria tu hizo ila wao tatizo lao waliwadharau Mawakili wa Serikali kuwa siyo Smart so hawatagundua kasoro hizo, hivo wakawakuta nao wapo smart sana.

Sasa Lema, Mwanzoni alitenda kosa akapewa Dhamana, lakini ile dhamana ilikuwa na masharti kadhaa ambayo Alitakiwa ayafuate, siku chache baadae akatenda tena kosa kwamba, Eti kaoteshwa Rais Magufuli atafariki dunia asipojirekebisha ....hili ni kosa kubwa sana kiusalama, hasa wa Rais, kwenye mambo ya usalama wa Rais ni priority namba one, kila mtu akitaka awe anatangaza kila Ndoto anayoota tutafika? kwani kulikuwa na umuhimu wowote kutangaza hadharani hiyo Ndoto? Je kama mmepanga mipango ya kumdhuru Rais sasa LEMA ndo katumwa atangaze kuwa Rais Atakufa ili ikitokea wananchi wasishtuke saaana????

Hivyo, Dhamana ya Lema imecheleweshwa na Mawakili wake na si kwamba kuna mkono wa mtu kama ambavyo Imeanza kuenezwa na wazushi...

Sasa Mawakili wanayo option ya Kukata rufaa mahakama ya Rufaa au waombe revisions tu.


Otherwise, akae tu KISONGO hadi JUNE 2017, nadhani atakuwa amenyooka sana.

Afu niwaombe Magereza Kisongo, LEMA asikae tu ndani, apewe shoka au jembe aende shambani kulima au akate kuni, au apewe UNYAMPARA.

Nilijua kichwan kuna kitu chochote kumbe box!!
Umeanza vizuri umekuja kumalizia vibaya na sentensi za mwisho zimekuonyesha chuki na kutojua wajibu wa mahabusu na mfungwa gerezani ila unasukumwa na chuki zako kwa Lema. Pole sana hawez kufanyishwa kaz yule sio mfungwa.

Swali la kujiuliza hakim anafundishwa na mawakili wa serikali ?
Awali alitoa dhamana means kosa lake ni dhamana . Baadaye wakamfundisha hatakiwi kupewa dhamana. Ajabu hii
 
Kama kesi ya kuota mtukufu amekufa haina dhamana ni bora ikaunganishwa na zile tatu za mauaji,uhaini na armed robbery ambazo sheria zetu zinatambua kwamba hazina dhamana, vinginevyo ni mahakama kutumika vibaya kunyima watu haki zao, na watu wataendelea kuona maono hata kama mtukufu hayapendi.
[HASHTAG]#Justice[/HASHTAG] for Lema.

~John Heche

*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
 
*Ameandika Mwanasheria Msomi Alberto Msando.......*

Suala la Lema ni la kisheria. Tuache kupotosha na kujivika huzuni za kinafiki.

Kwa mnaosema labda Lema anaonewa ni vyema mkaelewa issues za kisheria involved. Kilichotokea ni Mahakama kuamua on technicalities. Any good lawyer knows this.

System yetu ya sheria ni adversarial. Winner takes all. Mahakama siyo chombo cha sympathy. Mwenzako akikuwahi amekuwahi.

Kwa upande mwingine hebu tujadili 'noble cause' ya Lema ambayo anaipigania kwa kuangalia kesi gani zinamkabili. Je anashtakiwa kwa makosa gani? Tukiyajua na kuyaelewa tutakuwa katika nafasi nzuri ya kuhuzunika au kushauri.

Naamini huu ni wakati wa Lema kuangalia upya strategy zake za kutafuta haki. Naamini wabunge wengine wa CDM na viongozi wao wanatafuta haki pia. Je mbona wao hawako ndani au hawajanyimwa dhamana? Je kuna mahali Lema anakosea? Au wengine ndio wanakosea?

Tujadili kwa mapana kumsaidia Lema na kumtia moyo. Sio kishabiki. We must remain objective.

My take issue ya Lema inahitaji busara zaidi ya ubishi na ujuaji.
Haki itakuja tendeka tu. Hakuna haja ya kutaka eti wapigiwe magoti ili wamhurumie Lema. Tutakuwa tunahalalisha ukandamizaji.
 
Kuna kipindi Mbunge muheshimiwa Esther Bulaya alipomshinda katika Rufaa bwana Tyson nilisema walipoisifu mahakama imetenda haki kwao ikija ya Mbunge muheshimiwa Godbless Lema au kesi yoyote ya mahakamni wasijekusema mahakama hazitendi haki,je mko wapi?mahakama inatenda haki kwenu tu watu wenu wakishinda kesi,mkibanwa mnaonewa!
Kasome kwanza hotuba huyo Ngambo, ndo utaelewa kinachosemwa kuhusu mahakama Arusha.
 
Nimemwelewa sana Msando, umeongea ukweli kuwa kwenye sheria hakuna ushabiki kama wa Yanga Na simba.

Na Lema aangalie aina ya siasa zake, kwa nini yeye tu akae ndani Na sio wenzie.!
Ooo..o akianza kusifu na kushangilia kila kitu chenu, atapata dhamana. Pole ndg kwa unyonge huu.
 
Albert mbona haujatuambia anashitakiwa kwa makosa yapi? Ni bailable? Na kama ni bailable ni nini kisafina aside bailed? Wengine tunasikia kashitakiwa kwa matusi. Je ni kweli? Kamtusi nani na Kamtusi Je? Mimi ni mzee wa kiume;je ukiniita mimi ni bibi ni kosa? Mambo mengine yanahitaji hekima kama jinsi mfalme suleiman alivyoomba hekima kwa Mungu kuliko ubabe
 
Lugumi, Escrow, IPTL n.k waliohusika na kashfa hizo wanatamba tu uraia, lakini huyu aliyeota ndoto yake ndio anaonekana ni mtu hatari kabisa kuliko hao washenzi wezi wa Mali za umma?!! Hizi ni akili za kiuendawazimu
 
Back
Top Bottom