Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,712
- 36,168
Habari
Kwa nchi za Afrika Tanzania ikiwemo kuna trend kubwa ya wanaume kufa mapema kuliko wake zao.
Wakati naishi Uswahilini nyumba nyingi nilizopanga au nyumba za majirani nyingi hazina wanaume (baba mwenye nyumba).
Hii yote sababu kuu ni wanaume kujiingiza katika mapenzi au ndoa na wanawake wasiowapenda.
Kama mwanamke hakupendi hutoboi, hufiki mbali, hata pension yako ni nadra sana kuila.
Kuna vipimo vingi vya kupima kama binti anakupenda haswa au anakuigizia tu kwakuwa una kazi nzuri, biashara kubwa au umetokea familia nzuri. Sometimes hupenda umaarufu wako tu. But she is far from your soul
Ukimwoa binti asiyekupenda hata kama ulimkuta bikra lazima atakusumbua.
Ukimkuta unsealed ndo kabisa umekwisha , mpaka aliocheza nao utotoni atawapa unyumba.
Jaribu njia hii inaweza kukusaidia kumgundua binti anayeigiza kukupenda.
Mwahidi jambo litakaloamsha moyo wake. Let's say "keshokutwa twende nikakupige shopping ya gauni zuri na viatu vya gharama"
Ikifika keshokutwa ameshaondoka tayari mwambie sorry pesa iko kwenye account yangu ya bank na bahati mbaya kadi nineisahau nimegundua sasa hivi.
Akikuambia basi hamna shida nataka angalau nikuone tu nifurahi. Huyo oa haraka.
Asiyekupenda atakuambia basi ifuate bila kujali umbali wa ilipo hiyo kadi.
Mblock na umfute kichwani mwako ili uishi maisha marefu. Au mwambie kabisa nimekupima hunifai, nakutakia maisha mema.
Au mwambie saa moja usiku nitakutumia pesa sh. 10k, 20k, 50k n.k kulingana na hali yako
Saa moja ikifika zima simu iwashe kesho saa tatu.
Soma sms zake hapo utajua kuwa una mchumba au kachumbari.
Asubuhi njema
Kwa nchi za Afrika Tanzania ikiwemo kuna trend kubwa ya wanaume kufa mapema kuliko wake zao.
Wakati naishi Uswahilini nyumba nyingi nilizopanga au nyumba za majirani nyingi hazina wanaume (baba mwenye nyumba).
Hii yote sababu kuu ni wanaume kujiingiza katika mapenzi au ndoa na wanawake wasiowapenda.
Kama mwanamke hakupendi hutoboi, hufiki mbali, hata pension yako ni nadra sana kuila.
Kuna vipimo vingi vya kupima kama binti anakupenda haswa au anakuigizia tu kwakuwa una kazi nzuri, biashara kubwa au umetokea familia nzuri. Sometimes hupenda umaarufu wako tu. But she is far from your soul
Ukimwoa binti asiyekupenda hata kama ulimkuta bikra lazima atakusumbua.
Ukimkuta unsealed ndo kabisa umekwisha , mpaka aliocheza nao utotoni atawapa unyumba.
Jaribu njia hii inaweza kukusaidia kumgundua binti anayeigiza kukupenda.
Mwahidi jambo litakaloamsha moyo wake. Let's say "keshokutwa twende nikakupige shopping ya gauni zuri na viatu vya gharama"
Ikifika keshokutwa ameshaondoka tayari mwambie sorry pesa iko kwenye account yangu ya bank na bahati mbaya kadi nineisahau nimegundua sasa hivi.
Akikuambia basi hamna shida nataka angalau nikuone tu nifurahi. Huyo oa haraka.
Asiyekupenda atakuambia basi ifuate bila kujali umbali wa ilipo hiyo kadi.
Mblock na umfute kichwani mwako ili uishi maisha marefu. Au mwambie kabisa nimekupima hunifai, nakutakia maisha mema.
Au mwambie saa moja usiku nitakutumia pesa sh. 10k, 20k, 50k n.k kulingana na hali yako
Saa moja ikifika zima simu iwashe kesho saa tatu.
Soma sms zake hapo utajua kuwa una mchumba au kachumbari.
Asubuhi njema