Wakenya wazidi kuonja joto ya jiwe chini ya JPM.

Mnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR

Sasa wewe issue ya makinikia unafikiri ni nani wamekamatwa.
Unafiki yule ceo wa barick toka kanada na ndege binafsi alikuja kutembea? Wamekamatwa mpaka wanakanyagana.

CC: Joto La Jiwe
 
Sasa wewe issue ya makinikia unafikiri ni nani wamekamatwa.
Unafiki yule ceo wa barick toka kanada na ndege binafsi alikuja kutembea? Wamekamatwa mpaka wanakanyagana.

Duh! Hizo ni taarifa mpya kwangu, kumbe wamekamatwa....hivi wamepewa kifungo cha miaka mingapi gerezani, halafu natumai kila Mtanzania amepata Noah kama ilivyoahidiwa, na pia nategemea wamelipa mabilioni yote mliyowatajia.
 
Uelewa wako ni finyu Kama kawaida. Wewe kwa akili zako za kutafunia makande unafikiri wanaosafirisha hayo madini wanakubaliwa kivipi kuingia Mererani? SI jiwe alijenga ukuta humo kuwazuia watu Kama hao? Vipi Sasa unapata madini bado yanatoka Kama sio nyinyi wenyewe mnaowasaidia Hawa watu kuiba Nchi yenu?

Nyinyi ndio wezi wakubwa wa raslimali zenu kwa hivyo usipige kelele Kenya pigia Watanzania wenzako.
Pimbi wewe, ila ninakusamehe kwasababu kwenu hamna madini yoyote kwahiyo hujui lolote kuhusu madini. Hayo madini yaliyokamatwa sio Tanzanite inayitoka Merarani, hayo ni madini aina Mbalimbali na mengi hayatoki Arusha, yanatoka katika Mikoa mingine ya Tanzania, hao waliyakusanya toka kwa WACHIMBAJI wadogo wadogo toka mikoa Mbalimbali.

Tangu tumejenga ukuta pale mirerani, utoroshwaji wa Tanzanite umedhibitiwa kwa 90%. Kumbuka kwamba Tanzanite haipatikani katika eneo lilijengewa ukuta pekee, bado nje ya ukuta kuna wachimbaji wanaendelea kuchimba katika mashamba yao na kuyauza kwa walanguzi.

Tunapuzungumza kuhusu MADINI, wakenya mnapaswa kutulia, ninyi subirini tukianza kuzungumzia ukabila, rushwa na njaa, ndivyo mbavyo mumetuzidi.
 
Duh! Hizo ni taarifa mpya kwangu, kumbe wamekamatwa....hivi wamepewa kifungo cha miaka mingapi gerezani, halafu natumai kila Mtanzania amepata Noah kama ilivyoahidiwa, na pia nategemea wamelipa mabilioni yote mliyowatajia.

Endelea kujifanya punguani. Lkn ukweli ni kuwa the country is at a highest level to get rid off bandits and their operations. Yale makinikia yanayoshikiliwa ni mfano hai.
Kuna mengi yanayofanyiwa kazi chini kwa chini.
 
Mnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR

Hahahahaha, daaahhh, unaongea kama vile nchi yako haina rushwa, kumbe ndio yaongoza
 
Mnakamata vidagaa ambavyo vinabeba kwa mifuko kwa ushrikiano wa Watanzania.
Siku mtakamata papa wa Kiarabu na Wahindi na Wazungu ambao wameitafuna hiyo nchi yenu tangu jadi, ndio siku nitakubali mumeanza kupata muamko mpya na mtatoka kwenye umaskini.
Lakini hadi hiyo siku ifike, mtaendelea na hizi show za PR
Mshikwa na ngozi ndio mla nyama
 
Pamoja na ukali wa JPM lakini watu bado wanatorosha madini sasa sipati picha awamu iliyopita ambayo ufuatiliaji ulikuwa F hali ya wizi wa madini ilikuwaje
 
wewe akili zako hata apewe mende zitampelea.

Uelewa wako ni finyu Kama kawaida. Wewe kwa akili zako za kutafunia makande unafikiri wanaosafirisha hayo madini wanakubaliwa kivipi kuingia Mererani? SI jiwe alijenga ukuta humo kuwazuia watu Kama hao? Vipi Sasa unapata madini bado yanatoka Kama sio nyinyi wenyewe mnaowasaidia Hawa watu kuiba Nchi yenu?

Nyinyi ndio wezi wakubwa wa raslimali zenu kwa hivyo usipige kelele Kenya pigia Watanzania wenzako.
 
Pimbi wewe, ila ninakusamehe kwasababu kwenu hamna madini yoyote kwahiyo hujui lolote kuhusu madini. Hayo madini yaliyokamatwa sio Tanzanite inayitoka Merarani, hayo ni madini aina Mbalimbali na mengi hayatoki Arusha, yanatoka katika Mikoa mingine ya Tanzania, hao waliyakusanya toka kwa WACHIMBAJI wadogo wadogo toka mikoa Mbalimbali.

Tangu tumejenga ukuta pale mirerani, utoroshwaji wa Tanzanite umedhibitiwa kwa 90%. Kumbuka kwamba Tanzanite haipatikani katika eneo lilijengewa ukuta pekee, bado nje ya ukuta kuna wachimbaji wanaendelea kuchimba katika mashamba yao na kuyauza kwa walanguzi.

Tunapuzungumza kuhusu MADINI, wakenya mnapaswa kutulia, ninyi subirini tukianza kuzungumzia ukabila, rushwa na njaa, ndivyo mbavyo mumetuzidi.
Hakuna unalolijua kuhusu madini, wewe unasikia tu vijiweni na kwa propaganda za wavaa kijani.

Hivi hayo madini yameisaidia Tz na Nini(Wanaanchi) haswa tangu kupata Uhuru?
 
Hakuna unalolijua kuhusu madini, wewe unasikia tu vijiweni na kwa propaganda za wavaa kijani.

Hivi hayo madini yameisaidia Tz na Nini(Wanaanchi) haswa tangu kupata Uhuru?
Hahahahaha, sasa umeachana na ukuta wa Mererani, na umeachana na viongozi wa serikali kuhusika na rushwa, sasa unataka kujua wananchi walivyofaidika na MADINI.

Haya MADINI yalitusaidia kujenga umoja wa watanzania, tuliweza kutumia MADINI yetu kugharimia mipango ya kupiga vita ukabila, rushwa na kuleta Amani, pia tumefanikiwa kupunguza unemployment na pengo kati ya masikini na matajiri.
 
Hahahahaha, sasa umeachana na ukuta wa Mererani, na umeachana na viongozi wa serikali kuhusika na rushwa, sasa unataka kujua wananchi walivyofaidika na MADINI.

Haya MADINI yalitusaidia kujenga umoja wa watanzania, tuliweza kutumia MADINI yetu kugharimia mipango ya kupiga vita ukabila, rushwa na kuleta Amani, pia tumefanikiwa kupunguza unemployment na pengo kati ya masikini na matajiri.
Kweli yaliwasaidia kujenga LDC.
 
Back
Top Bottom