Wakenya washinda medali ya dhahabu na fedha mtawalia kwenye mbio za marathon kule Tokyo

Ni Wakalenjin na hawana uhusiano na Bantu kama wewe.
Ukiita Watanzania wavivu kwa kuwa hawashindi riadha ina maana hata wewe na Bantu wenzako ni wavivu.

Ok hivyo nikiamua nijishushe kwenye kiwango chako cha ukabila, ina maana kwa zaidi ya makabila 100 yote ya Tanzania, wote hao wazembe, watu zaidi ya milioni 60 wavuvi wa kutupwa, huko kunao hata wasio Wabantu, ujamaa uliwavuruga nyote.
 
Na
Kesho jumapili ndio shughuli yake, inasubiriwa maana ndio Olympic yenyewe, mengine huwa mapambo tu, yaani marathon ya wanaume kwenye Olympic husababisha dunia isimame.....hapa nina tumbo joto maana duh sijui itakuaje japo jamaa ametuhakikishia atafanya yake.....
Amefanyaje Kweli..!!! Hongera kwake
 
Ok hivyo nikiamua nijishushe kwenye kiwango chako cha ukabila, ina maana kwa zaidi ya makabila 100 yote ya Tanzania, wote hao wazembe, watu zaidi ya milioni 60 wavuvi wa kutupwa, huko kunao hata wasio Wabantu, ujamaa uliwavuruga nyote.

Kwaiyo kutoshiriki riadha huko japani ni uvivu? Kwaiyo na wewe hujashiriki kwaiyo ni mvivu sio,
Mzee unazeeka vibaya,
 
Kwaiyo kutoshiriki riadha huko japani ni uvivu? Kwaiyo na wewe hujashiriki kwaiyo ni mvivu sio,
Mzee unazeeka vibaya,

Mnajaribu kushiriki ila imeshindikana kisa uzembe, nyie mnajua vigodoro tu.....hehehe
 
Heheh, vigodoro, bâta na kuwa entertain dada zenu.

Halafu mlivyo watu wa majungu, nimeona sehemu mnamzodoa mchezaji wa Simba kisa kaoa mke aliyemzidi umri, inanikumbusha namna mlivyomtukana Diamond kisa tu kashiriki BET, yaani kwenu huko sijui ni ujamaa au kitu gani husababisha mjichokee kihivyo.
Hamuwezi kuungana na msheherekee chochote kama taifa...
 
Huku tuna Marathoni zetu unapokaribia Mchezo wa Simba ya Yanga.
Washabiki wanakimbia toka Kigoma hadi Daresalaam kuwahi Mechi.

Kwanza Tanzania tuna fulsa nyingi yanini kujitesa na Mazoezi ya Kuimbia kimbia.
Kukimbia ni mazoezi magumu sana kuna wafaa wavumilivu kama Wakenya.
 
Ok hivyo nikiamua nijishushe kwenye kiwango chako cha ukabila, ina maana kwa zaidi ya makabila 100 yote ya Tanzania, wote hao wazembe, watu zaidi ya milioni 60 wavuvi wa kutupwa, huko kunao hata wasio Wabantu, ujamaa uliwavuruga nyote.
Mbona Tanzania kuna wanamuziki wengi wazuri kuliko Kenya?
 
Halafu mlivyo watu wa majungu, nimeona sehemu mnamzodoa mchezaji wa Simba kisa kaoa mke aliyemzidi umri, inanikumbusha namna mlivyomtukana Diamond kisa tu kashiriki BET, yaani kwenu huko sijui ni ujamaa au kitu gani husababisha mjichokee kihivyo.
Hamuwezi kuungana na msheherekee chochote kama taifa...

Pamoja na yote hapo, dada zenu wanatuelewa saaana, sababu we can practice that art and entertain them. Kale kamchezo tunakajua haswa. Mimi ninao watatu hapo Nairobi. Mmoja ameolewa
 
Mbona Tanzania kuna wanamuziki wengi wazuri kuliko Kenya?

Hehehe!! Umeukimbia ukabila uliokua unajifichia na kurudi kwenye utaifa, isingekua kwa hao Warundi wa Kigoma sidhani kama mngetajwa popote, nakumbuka ile Kigoma all star, nilishangaa hata Ali Kiba ambaye hakushirikishwa kumbe naye wa huko.
 
Back
Top Bottom