kilam
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 2,092
- 2,126
Hao ni wachache, wengi ni Wakalenjin haina mjadala hiyo.Samuel wanjiru, Catherine dereba, david rudisha n.k walkua wakalenjin?
Hao ni wachache, wengi ni Wakalenjin haina mjadala hiyo.Samuel wanjiru, Catherine dereba, david rudisha n.k walkua wakalenjin?
Ni Wakalenjin na hawana uhusiano na Bantu kama wewe.
Ukiita Watanzania wavivu kwa kuwa hawashindi riadha ina maana hata wewe na Bantu wenzako ni wavivu.
Amefanyaje Kweli..!!! Hongera kwakeKesho jumapili ndio shughuli yake, inasubiriwa maana ndio Olympic yenyewe, mengine huwa mapambo tu, yaani marathon ya wanaume kwenye Olympic husababisha dunia isimame.....hapa nina tumbo joto maana duh sijui itakuaje japo jamaa ametuhakikishia atafanya yake.....
Ok hivyo nikiamua nijishushe kwenye kiwango chako cha ukabila, ina maana kwa zaidi ya makabila 100 yote ya Tanzania, wote hao wazembe, watu zaidi ya milioni 60 wavuvi wa kutupwa, huko kunao hata wasio Wabantu, ujamaa uliwavuruga nyote.
Mnajaribu kushiriki ila imeshindikana kisa uzembe, nyie mnajua vigodoro tu.....hehehe
Hongereni sana majirani kwa kuwakilisha vyema East africa nyie pamoja na Uganda kwenye ukweli pasemwe tuKafanye yake, yaani amechomoka na kunyakua
Usilete ubishani wa kijinga wewe nyang'auSamuel wanjiru, Catherine dereba, david rudisha n.k walkua wakalenjin?
Big up failluna matanga, You give it all alone despite chama cha madudu mechanization.Mtanzania Failuna Matanga alimaliza wa 24 kwenye mbio za marathon...heko kwake kwa kuwakilisha nchi ya wazembeView attachment 1883587
shukran mkuu.Hongereni sana majirani kwa kuwakilisha vyema East africa nyie pamoja na Uganda kwenye ukweli pasemwe tu
Heheh, vigodoro, bâta na kuwa entertain dada zenu.
Mbona Tanzania kuna wanamuziki wengi wazuri kuliko Kenya?Ok hivyo nikiamua nijishushe kwenye kiwango chako cha ukabila, ina maana kwa zaidi ya makabila 100 yote ya Tanzania, wote hao wazembe, watu zaidi ya milioni 60 wavuvi wa kutupwa, huko kunao hata wasio Wabantu, ujamaa uliwavuruga nyote.
Halafu mlivyo watu wa majungu, nimeona sehemu mnamzodoa mchezaji wa Simba kisa kaoa mke aliyemzidi umri, inanikumbusha namna mlivyomtukana Diamond kisa tu kashiriki BET, yaani kwenu huko sijui ni ujamaa au kitu gani husababisha mjichokee kihivyo.
Hamuwezi kuungana na msheherekee chochote kama taifa...
Mbona Tanzania kuna wanamuziki wengi wazuri kuliko Kenya?