Wakenya washinda medali ya dhahabu na fedha mtawalia kwenye mbio za marathon kule Tokyo

Siyo Kenya bali Wakalenjin. Wewe Mkikuyu hahusiki na riadha.
Wewe inaonekana unatamani sana ukabila. Kwani hao wa kale sio wakenya?
Kumbuka hata kule marekani watu weusi ndo hushinda gold kwa mbio za masafa mafupi na michezo kama basketball .. alafu wazungu wale weupe pepepe wanaoishi maeneo yenye baridi kali(achana na wale wanaoishi miami au NY ambao wamepigwa na jua hadi wakawa brownish) ndo hua wanachukua gold za sport kama swimming, shooting, kayaking ...
 
Wewe inaonekana unatamani sana ukabila. Kwani hao wa kale sio wakenya?
Kumbuka hata kule marekani watu weusi ndo hushinda gold kwa mbio za masafa mafupi na michezo kama basketball .. alafu wazungu wale weupe pepepe wanaoishi maeneo yenye baridi kali(achana na wale wanaoishi miami au NY ambao wamepigwa na jua hadi wakawa brownish) ndo hua wanachukua gold za sport kama swimming, shooting, kayaking ...
Hata Wakalenjin wa Uganda (Sebei) nao wanashinda, hitimisho ni kwamba Wakalenjin ndiyo wanashinda.
 
Hata Wakalenjin wa Uganda (Sebei) nao wanashinda, hitimisho ni kwamba Wakalenjin ndiyo wanashinda.
Hitimisho ni kwamba Wakenya ndo wanatuzwa medali, na bendera na nyimbo ya taifa ya Kenya ndo yachezeshwa, hayo mengine ni yako na maoni yako kuhusu kabila za watu. Na kama bado una hilo la kabila, enda ukatafute kabila lenu linaloishi kwenye milima (high altitude) muanze kukuza talanta, manake hata hao wa Uganda wameanza kutambulika hivi majuzi tu baada ya kuanza kutumia training camps za Kenya ambazo zinapatikana on the other side of Mt.elgon, kabla hapo hao wakalenjin kutoka Uganda walikua hawatambuliki...
 
Hitimisho ni kwamba Wakenya ndo wanatuzwa medali, na bendera na nyimbo ya taifa ya Kenya ndo yachezeshwa, hayo mengine ni yako na maoni yako kuhusu kabila za watu. Na kama bado una hilo la kabila, enda ukatafute kabila lenu linaloishi kwenye milima (high altitude) muanze kukuza talanta, manake hata hao wa Uganda wameanza kutambulika hivi majuzi tu baada ya kuanza kutumia training camps za Kenya ambazo zinapatikana on the other side of Mt.elgon, kabla hapo hao wakalenjin kutoka Uganda walikua hawatambuliki...
Sawa Msapere mwenye miguu mizito. Wasapere na nyie nendeni Eldoret mkafanye mazoezi mtengeneze mamilioni.
 
Back
Top Bottom