Wakenya tushukuru kwamba tuna katiba mpya(2010) ambayo ilileta 'checks & balances', kupitia vitu kama usaili ambavyo vinatuepushia aibu kama hizi

pingli-nywee

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
11,923
13,344
Mfumo mbovu wa elimu ukiambatana na mifumo mibovu ya kiutawala, matokeo yake huwa ni aibu kama hizi;



Huyo hapo ni mbunge aliyeteuliwa na rais wa Tz kama naibu waziri, akishindwa kusoma kiapo chake cha uwaziri. Hizi ndio athari tulizojiepusha nazo tulipoandika katiba mpya ya Kenya 2010. Mifumo ya ajabu ajabu kama hiyo ni kikwazo kikubwa mno kwa maendeleo ya nchi na watu pia hapa barani Afrika.

Yaani hapo kwa madaraka ya kulevya ambayo yamekabidhiwa mtu mmoja, uteuzi unafanya kiholela bila usaili(vetting) kutoka kwa mihimili mingine, au hata shirika lolote lingine la kiserikali. Tena mbaya zaidi ni kwamba sio kwenye nafasi za uwaziri tu.

Huu ndio mfano mzuri wa sampuli ya viongozi ambao huwa wanabebwa na maagizo ya 'mzee', kutoka kwa 'primaries' za wagombea ubunge ndani ya vyama. Hadi kwa uchaguzi mkuu ambapo huwa wanashinda kwa 'kishindo', kupitia mgongo wa Tume ya Uchaguzi ambayo sio huru, iliyojawa na uoga na mahakama ambazo zinapokea maagizo 'kutoka juu'.
 
Akili na uwezo mdogo ndio tatizo kubwa la wakenya, huyu jamaa ana degree mbili" Masters of Finance" amekuwa katika nafasi mbalimbali za kiutendaji serikali ikiwemo DED kwa muda wa miaka minne na performance yake ilikua excellent, vipi ashindwe kusoma kiapo, unadhani hawezi kusoma? Wakenya mpo na uwezo mdogo sana wa kufikiri.

Hiyo katiba imesaidiaje kama bado wabunge wanaweza kujilipa pesa za allowances bila kufuata sheria? Police wanaendelea kuua wakenya hovyo? Rushwa ndio kwanza inazidi kutamalaki? Tuambie Kenya kipi kimebadilika kutokana na katiba mpya?
 
Akili na uwezo mdogo ndio tatizo kubwa la wakenya, huyu jamaa ana degree mbili" Masters of Finance" amekuwa katika nafasi mbalimbali za kiutendaji serikali ikiwemo DED kwa muda wa miaka minne na performance yake ilikua excellent, vipi ashindwe kusoma kiapo, unadhani hawezi kusoma?, wakenya mpo na uwezo mdogo sana wa kufikiri.

Hiyo katiba imesaidiaje kama bado wabunge wanaweza kujilipa pesa za allowances bila kufuata sheria?, Police wanaendelea kuua wakenya hovyo?, rushwa ndio kwanza inazidi kutamalaki?, tuambie Kenya kipi kimebadilika kutokana na katiba mpya?

Katika yao hata miaka 3 haijaisha, hao mbio, wanaanza kuibadilisha. Maajabu ya Kenya, hayatawahi kuisha.
 
Hili hapo chini ndilo la kikatiba.

Ukiwa na katiba mbovu kama ya Kenya. Hili la kuchota mihela lazima litokee.

 
Kenya watoto wa shule wanajiingiza katika umalaya na madanguro kwa malipo ya pedi.

Kisha kuna jamaa anaandika komedi zake hapa kwamba katiba yao ina msaada. Lichoti yuko wapi?
 
Mengine hata unatamani ujifiche mvunguni mwa kitanda usiyaone, aibu tu jameni, Afrika tutachelewa sana, full vituko. Umaskini na ukata vimetamalaki, wanaopewa majukumu wenyewe ni kama wameshtukizwa hata hawakua na habari za uteuzi, mtu unashindwa kusoma kiapo halafu wewe ndiye utie saini mikataba ya mabilioni iliyoandaliwa kwenye stakabadhi zenye kurasa zaidi ya 300.

Mtaliwa sana na mabeberu hadi ibaki mifupa, maana huyo hapo alikua anaapishwa awe waziri wa madini ya nchi...hehehe!
 
Akili na uwezo mdogo ndio tatizo kubwa la wakenya, huyu jamaa ana degree mbili" Masters of Finance" amekuwa katika nafasi mbalimbali za kiutendaji serikali ikiwemo DED kwa muda wa miaka minne na performance yake ilikua excellent, vipi ashindwe kusoma kiapo, unadhani hawezi kusoma?, wakenya mpo na uwezo mdogo sana wa kufikiri.

Hiyo katiba imesaidiaje kama bado wabunge wanaweza kujilipa pesa za allowances bila kufuata sheria?, Police wanaendelea kuua wakenya hovyo?, rushwa ndio kwanza inazidi kutamalaki?, tuambie Kenya kipi kimebadilika kutokana na katiba mpya?
Huyu jamaa ni mtafuna mirungi, hizo ni handas za miraa
 
Nenda kasome "Anxiety disorder", ndio urudi tena, akili zeno zimejaa ukabila badala ya kujifunza mambo kama haya.
Wala hayahusiani we nawe umeanza kukurupuka sasa
Hakuna uhusiano wowote na hayo uliyoyaongea.
Jaribu kutuuliza Sisi wataalam wa Behavioural Studies tukueleze possible reasons for that phenomenon.
Mataga nawahurumia sana, naona mlitagishwa mayai hadi mkawehuka. Eti kwamba hamna uhusiano wowote kati ya aibu hizi na ukosefu wa usaili wa walioteuliwa kabla ya kuapishwa au kukubaliwa kuanza kazi? Mnajua maana ya vetting(usaili) nyie? Usaili kama unaofanywa nchini Kenya huwa unazingatia mambo mengi kando na kiwango cha elimu. 'Confidence', 'leadership skills', 'communication skills', historia ya wateuliwa huwa vinazingatiwa. Hadi na vyeti vya walioteuliwa huwa vinafanyiwa 'authentification'.
 
Mataga nawahurumia sana, naona mlitagishwa mayai hadi mkawehuka. Eti kwamba hamna uhusiano wowote kati ya aibu hizi na ukosefu wa usaili wa walioteuliwa kabla ya kuapishwa au kukubaliwa kuanza kazi? Mnajua maana ya vetting(usaili) nyie? Usaili kama unaofanywa nchini Kenya huwa unazingatia mambo mengi kando na kiwango cha elimu. 'Confidence', 'leadership skills', 'communication skills', historia ya wateuliwa huwa vinazingatiwa. Hadi na vyeti vya walioteuliwa huwa vinafanyiwa 'authentification'.
Wewe jamaa uyo ameshindwa kuapa inasemekana kuna issue za mambo ya giza sana uko lindi wamempika sasa serikali haiwezi kumngoja kisa eti aliteuliwa tu,na vp akishindwa kusign mikataba na mambo mengine.
 
Mataga nawahurumia sana, naona mlitagishwa mayai hadi mkawehuka. Eti kwamba hamna uhusiano wowote kati ya aibu hizi na ukosefu wa usaili wa walioteuliwa kabla ya kuapishwa au kukubaliwa kuanza kazi? Mnajua maana ya vetting(usaili) nyie? Usaili kama unaofanywa nchini Kenya huwa unazingatia mambo mengi kando na kiwango cha elimu. 'Confidence', 'leadership skills', 'communication skills', historia ya wateuliwa huwa vinazingatiwa. Hadi na vyeti vya walioteuliwa huwa vinafanyiwa 'authentification'.

Acha kuongea vitu ambavyo huvielewi.
Eti usaili ndiyo vetting.
Bure kabisa wewe. Enda kule kaongee na wenzako kule gologocho.
 
Ww jamaa uyo ameshindwa kuapa inasemekana kuna issue za mambo ya giza sana uko lindi wamempika sasa serikali haiwezi kumngoja kisa eti aliteuliwa tu,na vp akishindwa kusign mikataba na mambo mengine
Kwahivyo amerogwa? Wabongo buana, mwenzako amesema ni anxiety disorder. Sijui kama ana diagnosis kutoka kwa daktari? Ndio point yangu hiyo, hayo masuala yote yangeanikwa wazi kabla ya kufikia hatua ya jamaa kuinua bibilia juu na kuleta aibu za ajabu ajabu. Ndio njia pekee ya kuzuia rais kuwateua watu kiholela holela, hata wale wasiofaa, kisa eti ni ma'yes men' au kwa sababu zake binafsi. Tumekubaliana kufikia hapo?
 
Hakuna uhusiano wowote na hayo uliyoyaongea.

Jaribu kutuuliza Sisi wataalam wa Behavioural Studies tukueleze possible reasons for that phenomenon.
Illetracy ya huyo mtu ndio sababu ya yeye kushindwa kusoma.
 
Illetracy ya huyo mtu ndio sababu ya yeye kushindwa kusoma.

Siamini kama mtu mwenye elimu ya kiasi kile anaweza kushindwa kusoma. Pia ukiangalia ile video, hakushindwa kusoma, bali hakuwa katika hali na nafasi (moody and template, refer to emotional intelligence) ya kusoma.

Kwa upande mwingine sijaona kama jambo hilo lina uhusiano na katiba
 
Katiba ya 2010 ndio bado haijamaliza miaka 3? Mleta mada alikuwa sahihi aliposema kuwa education system yenu ni mbovu. Hata kuhesabu 1 mpaka 10 imekushinda.

Aha haa haaa
kama katiba ikikaa (only) just 10 yrs needs kushona viraka, then I'm worrying with the technical capacity of the champion team who used a lot of resources to craft it. Mind you, the constitutional (a mother law of the land) is not like other statutes which can be amended, reviewed or repealed now and then. This's a 50+ yrs things.
 
Back
Top Bottom