Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,017
- 16,427
Naona unapapenda sana. Kuja nitajitolea kukupa tour. Japo bado sijafika huko.Naam.
๐คฃ๐๐
Naona unapapenda sana. Kuja nitajitolea kukupa tour. Japo bado sijafika huko.Naam.
๐คฃ๐๐
Differentiation ya 10 ni 0 maana 10 ni constant. Differentiation ya 10x ndio 10. Differentiation ya 3x ndio 3. Ujue unadili na wasomi hapa, sio watu wanaokaa juu ya mawe wakipiga soga. Huwezi kutudanganya. Kubali tu kwamba maths is not your forte.Angalau umenyosha maelezo, maana nilitaka nishangae, tangu lini vetting ikawa equivalent to usaili (interview).
Hiyo hesabu ya 2020 minus 2010 jibu ni 3 if you apply the calculus (differentiation from the first principle).
๐๐
This is pure jibberish, unajua maana ya CV? Vetting kwa mfano ni kama hii ya CS Monica Juma, kabla hajafanyiwa 'clearance' kuwa waziri wa masuala ya nje.Vetting ni Pamoja na CV mzee, punguza ukichwa panzi, Hahahaha eti Kenya ndio ya kumfundisha Magufuli vetting, Magufuli hateui mtu kifala, sikiliza comments zake baada ya kuapisha kiongozi yeyote usikie jinsi huwa anawachambua mpaka mara ya mwisho wao wa kula pilau
This is pure jibberish, unajua maana ya CV? Vetting kwa mfano ni kama hii ya CS Monica Juma, kabla hajafanyiwa 'clearance' kuwa waziri wa masuala ya nje.
historia ya wateuliwa huwa vinazingatiwa. Hadi na vyeti vya walioteuliwa huwa vinafanyiwa 'authentification'
Elimu yenu unayoiZungumzia ambayo inazalisha walarushwa na mafisadi?Ndio maana education system yenu iko ranked low, how can a person with a master degree ashindwe kusoma? Ama alinunua certificates?
Aha haaaDifferentiation ya 10 ni 0 maana 10 ni constant. Differentiation ya 10x ndio 10. Differentiation ya 3x ndio 3. Ujue unadili na wasomi hapa, sio watu wanaokaa juu ya mawe wakipiga soga. Huwezi kutudanganya. Kubali tu kwamba maths is not your forte.
Naona unapapenda sana. Kuja nitajitolea kukupa tour. Japo bado sijafika huko.
Aisee, we jamaa ni kichwa boga kupindukia. ๐ Huelewi hadi vitu simpo kabisa kama caption ya video 'facing the panel', yaani kumaanisha 'vetting panel'. Hivi unasurvive aje kwenye dunia hii ya sasa na uelewa finyu kama huo? Sitapoteza muda wangu tena.Facing the panel ndio vetting? Sio wewe ulioandika hiki Na sio mimi niliokujibu accordingly View attachment 1647453
Hapa inaonyesha ni kiasi gani mlivyo na uwezo mdogo wa akili, kwahiyo hiyo miaka takriban 15 akiwa mtendaji serikalini kama DED wewe ndiye ulikua ukumsomea na kumuandikia?.Ndio maana education system yenu iko ranked low, how can a person with a master degree ashindwe kusoma? Ama alinunua certificates?
Kiingereza?... You are better than this Tony, don't put yourself down. What is English by the way?, Tanzania we are above than English language, we have our own langiage which soon will be an African language, never tell us again about English.Certificate pengine sio original maana nadhani huyo mtu alienda shuleni kunywa uji tu ila hakutilia maanani masomo. Hapa kenya hata mtu wa form four anachapa kingereza hadi mtu anahisi kutoroka. The level of education ya Kenya haiwezi kulinganishwa na education ya kuku ya Malazy wa south.
Soma uzi kwa umakini we kibwengo, kutoka mwanzo hadi mwisho kabla ya kucomment. Kama VPN inakutatiza usilete usumbufu wako humu.Vetting ni usaili????
Kajifunze tena kiswahili zwazwa wewe
Vetting ni process na kikatiba nchini Kenya
huwa inajumuisha vitu kadhaa ikiwemo uhakiki, usaili ndio huwa hatua ya mwisho kabla ya kuapisha.
Vpn ingenitatiza ungeniquote bwegenaz wewe???Soma uzi kwa umakini we kibwengo kutoka mwanzo hadi mwisho kabla ya kucomment. Kama VPN inakutatiza usilete usumbufu wako humu.
Were you his eye?
Elimu yenu unayoiZungumzia ambayo inazalisha walarushwa na mafisadi?
Utakufa na wajukuu wako pia watazeeka hadi wafe before that Kiswahili ikue main language ya Eastern Africa. Kiswahili has no future.Kiingereza?... You are better than this Tony, don't put yourself down. What is English by the way?, Tanzania we are above than English language, we have our own langiage which soon will be an African language, never tell us again about English.
Sawa jombaa nimekuelewa, usilie basi.Vpn ingenitatiza ungeniquote bwegenaz wewe???
Mabeberu meusi nyieee
Tz raha sana boya weweeSawa jombaa nimekuelewa, usilie basi.
Naona unapapenda sana. Kuja nitajitolea kukupa tour. Japo bado sijafika huko.